Najuta kuoa mwanamke mlokole


Haya mambo we yasikie kwa mwenzako tu kaka
 
Mfyuuuuuuuu dume zima utajisifiaje kumpiga mke???
Wakati unamuoa hukujua ni mlokole

Yaani wewe ufungwe tu
 
kila kitu kwa kiasi amesema hapingi yeye kusali lakini kusali kusifanye ukose muda wa kukaa na family
 
Mpaka sasa umesha control situation kwa 75%.
Huna haraka. Mpe second chance yenye masharti makali. Sharti namba moja ni kuwa asiende tena kwenye hilo kanisa. Sharti la pili ni kuwa asitumie zaidi ya masaa 3 kanisani kwa wiki. Yani kwa siku zote za wiki akijumuisha mda aliokaa kanisani usizidi masaa 3. Na uwe kati ya saa 2 asbh na saa 10 jioni...

Na kuwa utamrudishia uhuru wake wa kutumia muda kanisani baadae
 
Mimi nakuahauri msamehe mrudiane ila kwa mikakati m ipya na makubaliano maalumu!
 
Vijana wa siku hizi wanasema.

"Temana naye."
 
Hahahaaa hayo ndo malipo ya kumtenda ubaya Rachel.Mkipataga wanawake wapya mnakuwaga na maneno ya shombo. Mwenyewe ulidhani umepata kumbe umepatikana.
 
Pole sana.Hakika kweli umechanganyikiwa.kama imefikia stage hata mwanao huna huruma nae.
 
Ndoa za Kikristo hazina TALAKA labda kwa wachungaji uchwara pekee!
Kama amejirudi yeye mwenyewe mpokee ila kwa sharti la kusali weekend tu na kutoshiriki mikesha.
Waweza kumbadilishia kanisa pia maana makanisa ya kilokole yapo mengi bila shaka.
 
ulikosea kumpiga. why?
sio kila kanisa wanamuabudu MUNGU wa kweli. mengine ni makanisa ya shetani. (ndoa na iheshimiwe na watu wote)
mkeo amesahau kuwa "watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa"
 
Pole sanaa Bro. Nakuelewa sanaaa. Hawa walokole wanashida sanaaa. Huyo mkeo ana elimu gan ??

Kuna watu shule haijawakomboa kabisaa.
 
Pole sana ndugu yangu. Kimsingi kama unavomwona anakukosea, ujue naye anakuona umepotoka, na sababu kubwa ni kwamba mnatumikia mabwana wawili tofauti hivyo ni lazima utumishi utofautiane, ratiba zitofautiane, mitazamo itofautiane........... nk.
Neno linasema watu wawili hawawezi tembea pamoja wasipopatana. Anyway.... binafsi najua na nimepitia changamoto kama zako, lakini nimeamua kuvumilia tu nikiamini bado Mungu anayomipango bora kwangu na kwa mke wangu.
Ushauri wa bure kwenu ambao hamjaoa/ kuolewa: kuoa/ kuolewa na mtu asiye wa imani yako, utakuja kujuta. Najua wengine mpo mbioni kuoa/ kuolewa na watu wa imani tofauti, na huenda usinielewe ninachokisema hapa, au alichosema mtoa mada. Ndugu nawasihi mtafakari upya uamuzi huo. Usiombe kuwa mhanga, wacha tu uyasikie.
 
aliyeleta ulokole duniani alikosea Sana, tatizo kubwa linalonkera kuhusu wao ni viburi na kujiona wamemaliza kila kitu
yani Walokole wana maudhiiiiiiii uwiii!!
 
Brother pole sana najua unapitia kipindi kigumu sana hasa kwa kuwa binadamu yeyote hupenda kwenda kwa mipango.Jambo moja napenda kujua kutoka kwako je wampenda kwa dhati au unasubiria kupata sababu ya kumwacha kama bado unampenda mpe nafasi ongea naye kwa upendo ukimweleza tatizo la kanisa hilo bila kutumia hasira na ukiweza mkae sehemu nzuri mkiwa na mtoto wenu sehemu tulivu,ongea taratibu na kwa kina naamini atajirudi zaidi ya yote hata ukimwacha haitasaidia kama ulimpenda kwa dhati.Pole sana
 
Usiseme walokole. Ni akili ya mtu tu. Kama ameokoka na hatunzi familia biblia inasema huyo ni mbaya kuliko yule asieamini uwepo wa Mungu. Rudiana nae ili mtoto asidhurike na matatizo yenu ila mpe masharti ya kutokaa kanisani siku nzima. Aende kwa kiasi khaaa na pengine uchunguze hilo kanisa sio bure huduma kam hizo za kukaa siku nzima ni za vijana...na si wamama wala wababa...Pole sana kwa hilo mkuu. Rudisha moyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…