Najuta kuoa mkibosho!

Najuta kuoa mkibosho!

Mimi nilipata mkibosho mmoja,rahimu,mpole,mtulivu na hana makuu na tumezaa nae mtoto wa kiume ana miaka 6 hivi sasa,ni mdada mwema sana,hivi sasa kaolewa na mtoto nimemchukua wiki iliyopita.Ni mdada mwema sana
 
Bado tuh nauguza majeraha.maasai nilidanganywa na shepu nikakutana na mkibosho. penzi lilishamir ila mazoea yalipozidi akaanza dharau na matusi.mim nikamwonyesha ubabe wakimaasai. ila matokeo yake alinimwagia chai moto niliungua vibaya sana.naye kuona yale akakimbia huku akinibia lak 2 pamoja na simu. kiukwel siwez dhubutu kuoa ama kuwa na mpenz kweny kabila lingin tofaut na maasai.
Walivyo na shepu isiyoeleweka, meno machafu, roho mbaya uliwezaje kujaribu hiyo jehanam? Kusema ukweli mchaga wa Kibosho, Machame, Marangu, Old Moshi siyo wa kuoa, labda ukaoe Rombo
 
Bado tuh nauguza majeraha.maasai nilidanganywa na shepu nikakutana na mkibosho. penzi lilishamir ila mazoea yalipozidi akaanza dharau na matusi.mim nikamwonyesha ubabe wakimaasai. ila matokeo yake alinimwagia chai moto niliungua vibaya sana.naye kuona yale akakimbia huku akinibia lak 2 pamoja na simu. kiukwel siwez dhubutu kuoa ama kuwa na mpenz kweny kabila lingin tofaut na maasai.
😁😁😁😁😁😁😁
 
Walivyo na shepu isiyoeleweka, meno machafu, roho mbaya uliwezaje kujaribu hiyo jehanam? Kusema ukweli mchaga wa Kibosho, Machame, Marangu, Old Moshi siyo wa kuoa, labda ukaoe Rombo
kwamba wa rombo ndiyo wapoje mzee ? kati ya wanawake wa kichaga hawana mambo mengi naona hawa wa kibosho, warombo watakupasua ohoo
 
Back
Top Bottom