Mishe ni poaBwashee ,mishe ni aje
Wajinga wajinga tu bwasheeMishe ni poa
Bwashee hawa jamaa wana tutafuta maneno ati?
Walivyo na shepu isiyoeleweka, meno machafu, roho mbaya uliwezaje kujaribu hiyo jehanam? Kusema ukweli mchaga wa Kibosho, Machame, Marangu, Old Moshi siyo wa kuoa, labda ukaoe RomboBado tuh nauguza majeraha.maasai nilidanganywa na shepu nikakutana na mkibosho. penzi lilishamir ila mazoea yalipozidi akaanza dharau na matusi.mim nikamwonyesha ubabe wakimaasai. ila matokeo yake alinimwagia chai moto niliungua vibaya sana.naye kuona yale akakimbia huku akinibia lak 2 pamoja na simu. kiukwel siwez dhubutu kuoa ama kuwa na mpenz kweny kabila lingin tofaut na maasai.
😁😁😁😁😁😁😁Bado tuh nauguza majeraha.maasai nilidanganywa na shepu nikakutana na mkibosho. penzi lilishamir ila mazoea yalipozidi akaanza dharau na matusi.mim nikamwonyesha ubabe wakimaasai. ila matokeo yake alinimwagia chai moto niliungua vibaya sana.naye kuona yale akakimbia huku akinibia lak 2 pamoja na simu. kiukwel siwez dhubutu kuoa ama kuwa na mpenz kweny kabila lingin tofaut na maasai.
Kwamba uvumilivu uliwashinda?! 😂Kibosho kuna shapes toka lini?
Hao si ndio wale wakati wa kufinyangwa kwa udongo kabla hawajakauka vizuri wenyewe wakakaa
Hadi mwinjilisti Kerato Mombaa umepigwa bani! Ama kwa hakika hakuna aliyeko salama.Hahahahahahahaa
Toto jinga sana wewe
Unawadharau ndugu zako wa gizani/kishimundu?
Dah! Pole sana, wengine almanusura tutolewe macho. Hapa nauguza jicho siku ya tano sasa.Imenichukua wiki tatu kupona niweze kujifanyia shughul
kwamba wa rombo ndiyo wapoje mzee ? kati ya wanawake wa kichaga hawana mambo mengi naona hawa wa kibosho, warombo watakupasua ohooWalivyo na shepu isiyoeleweka, meno machafu, roho mbaya uliwezaje kujaribu hiyo jehanam? Kusema ukweli mchaga wa Kibosho, Machame, Marangu, Old Moshi siyo wa kuoa, labda ukaoe Rombo
Walichoka kuvumilia. Dongo hadi likauke wamesimama tu we famasiala niniKwamba uvumilivu uliwashinda?! 😂
😂🤣😂Walichoka kuvumilia. Dongo hadi likauke wamesimama tu we famasiala nini