Nilitokea kumpenda demu mmoja,nikavutiwa naye nikamtongoza akakubali. Baada ya kula vitu siku ya kwanza nikanogewa. Nikaamua kumpa simu, smartphone Nokia Lumia TZS 650,000.
Nimekaa naye kama miezi 4 hivi sasa nikila vitu. Juzi nimegundua kuna jamaa anatembea na msichana wangu. Nimeumia sana,nilimkamata kwa text, na akakiri ni boyfriend wake wa zamani lakini akaniahidi kutorudia kwamba ilitokea bahati mabya.
Sijaamini hasa sikuwahi kuhonga msichana zaidi ya sh 10,000 sasa hiyo laki 6 inaniuma sana. Leo kaaga anasafiri lakini hata simu hapokei. Anatuma text tu,hivi sasa ninavyoandika najua yumo analiwa na huyo jamaa. Nimepanga kumnyanganya simu.
Au nifanyeje wanaume wenzangu nipeni ushauri
Nimekaa naye kama miezi 4 hivi sasa nikila vitu. Juzi nimegundua kuna jamaa anatembea na msichana wangu. Nimeumia sana,nilimkamata kwa text, na akakiri ni boyfriend wake wa zamani lakini akaniahidi kutorudia kwamba ilitokea bahati mabya.
Sijaamini hasa sikuwahi kuhonga msichana zaidi ya sh 10,000 sasa hiyo laki 6 inaniuma sana. Leo kaaga anasafiri lakini hata simu hapokei. Anatuma text tu,hivi sasa ninavyoandika najua yumo analiwa na huyo jamaa. Nimepanga kumnyanganya simu.
Au nifanyeje wanaume wenzangu nipeni ushauri