Najuta kuhamia kwangu Kerege

Assumption zako bado siyo sawa, kwani ukikaa sinza na unafanyakazi mjini hutumii mafuta tofauti yake ni ipi? Uhuru wa kuishi kwakona utumwa wa kulipa kodi ni tofauti sana, kwanza hakuna mwenye nyumba anayelipwa kwa mwezi, either mwaka, miezi sita au mitatu, huoni hiyo karaha imeondoka, mwanaume pambana jali chako
Mimi binafsi nalipwa kodi ya nyumba kwa mwezi nimekubaliana na hali halisi ya uchumi na isitoshe Mimi mwenyewe binafsi tangu mwanzo nilikuwa napenda ikiwezekana nilipwe kwa mwezi, kwangu Mimi ni more comfortable kulipwa kwa mwezi.

Pesa za ada za watotp na kuendesha maisha zinapatikana kwenye source nyingine, hii ya kodi ni ya kulinda heshima mjini tu ndio maama kwangu nahitaji kwa mwezi.
 
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.

View attachment 1259979
NIPE NUMBER YAKO INBOX NIKUPE NJIA UTAIPENDA
 
Mimi binafsi nalipwa kodi ya nyumba kwa mwezi nimekubaliana na hali halisi ya uchumi na isitoshe Mimi mwenyewe binafsi tangu mwanzo nilikuwa napenda ikiwezekana nilipwe kwa mwezi, kwangu Mimi ni more comfortable kulipwa kwa mwezi.Pesa za ada za watotp na kuendesha maisha zinapatikana kwenye source nyingine, hii ya kodi ni ya kulinda heshima mjini tu ndio maama kwangu nahitaji kwa mwezi.
Wapangaji siku hizi wakorofi, mtafikishana Baraza la nyumba, maana ukisubiri apange upite mwezi ndipo akulipe au alipe mwezi mmoja mmoja, utajuta, Hali ni ngumu watakwambia, Ninasomesha, nimefiwa huna habari najenga na mm, basi shida tupu, wapangaji ni kero sana watoto watajisaidia mlangoni kwako, watachungulia TV, Mama akipika Dagaa wenyewe watakaanga k/moto au watapika pilau, hata dirisha la chumbani kwako usiku watakaribia, kaa nao mbali kabisa
km una sehemu ya kuishi shukuru Mkuu, au waachie kapange NHC au kwa mtu
 
NIPE NAMAB NAKUPIGIA SASA HIVI
NILICHOKIFANYA MIE NILIVYOHAMIA NILIBEBA SIKU YA KWANZA ABILIA NIKWAPA LIFT NDANI YA GARI NIKAWAULIZA WANAOKWENDA KILA SIKU KAZINI NIKAWAPA 2 NA WAWILI WAO WALIKIUWA NA DHARULA TU YA MARA MOJA HIVYO HOA WAWILI NIKAWWAMBIA WACHANGIE PESA YA MAFUTA SEHEMU YA KUPANDA MAGARI 2 KAMA NI 800 NAWATOZA 1000 KAMA 3 1500 HIVYO KAMA UNAPATA 4 KWENDA ITAKUWA 4000 NA KURUDI NINAO WAFANYAKAZI WENZANGU WANAOSHUKA NJIA NAO HUWA WANACHANGIA MAFUTA HIVYO KWA SIKU NAWEZA PATA 7000 AU NANE NIMETENGENEZA KIBUU KWA WIKI SIKOSI KUANZIA 25000-35000 AT LEAST .HIVYO KWA MWEZI LAKI AU 140000 HIVYO UTAKUWA UMETUMIA 60000 TU
 
NJE YA MADA:

MAPINGA, KEREGE, ZINGA, KIROMO, KITOPENI, UKUNI (MAENEO YALIYOPO BARABARA KUU YA DAR - BAGAMOYO)
NI MAENEO AMBAYO YANAONEKANA KEKI SANA KWA MTU KUMILIKI ARDHI,
NA
HIVYO WATU WENGI KUTOKA DAR ES SALAAM NA MAENEO MENGINE KUMIMINIKA BAGAMOYO KWA WINGI KWENDA KUNUNUA ARDHI (VIWANJA & MASHAMBA).

NOTION HIYO IMEIBUA WIMBI KUBWA LA MATAPELI (WANAOJIITA/KUJIFANYA MADALALI) NA KUPELEKEA WATU WENGI KUTAPELIWA NA MADALALI HUKO,
AMA KWA KUUZIWA MAENEO YASIYOWAHUSU AU KUWAUZIA MAENEO YENYE MIGOGORO,
YAANI UNAKUTA ENEO MOJA WAMEUZIWA WATU 6 TOFAUTI,
NA WOTE WANAZO NYARAKA-

SASA HAPO ZINAANZA KESI MAHAKAMANI SASA-
THE STRONGEST DO SURVIVE,
THE WEAKEST END UP TO PERISH.

UNAPOENDA KUNUNUA ARDHI BAGAMOYO,
KUWA MAKINI SANA-
SANA NA SANA, NA TENA ZAIDI YA SANA!!!
WEKA AKILI YAKO MBELE, KISHA PESA NYUMA,
NA SIO PESA YAKO MBELE, KISHA AKILI NYUMA.

(Kama umemaindi herufi kubwa, unaweza sema nikupe mwongozo).
Hiyo Njia ya Bagamoyo nimeipenda
ila kwa Wajanja unaenda Ardhi mbona 40,000/ searching fee unapata kila kitu
km hilo eneo ni la Mipango gani kwa Mji?, Kanisa, Shule au Barabara
Chukua hao Maafisa na GPA zao za mkononi km simu tu
baadaye Mtendaji wa Mtaa / Kata au Kijiji yeye huwa anahusika na Ardhi yote ya Mtaa
 
NJE YA MADA:

MAPINGA, KEREGE, ZINGA, KIROMO, KITOPENI, UKUNI (MAENEO YALIYOPO BARABARA KUU YA DAR - BAGAMOYO)
NI MAENEO AMBAYO YANAONEKANA KEKI SANA KWA MTU KUMILIKI ARDHI,
NA
HIVYO WATU WENGI KUTOKA DAR ES SALAAM NA MAENEO MENGINE KUMIMINIKA BAGAMOYO KWA WINGI KWENDA KUNUNUA ARDHI (VIWANJA & MASHAMBA).

NOTION HIYO IMEIBUA WIMBI KUBWA LA MATAPELI (WANAOJIITA/KUJIFANYA MADALALI) NA KUPELEKEA WATU WENGI KUTAPELIWA NA MADALALI HUKO,
AMA KWA KUUZIWA MAENEO YASIYOWAHUSU AU KUWAUZIA MAENEO YENYE MIGOGORO,
YAANI UNAKUTA ENEO MOJA WAMEUZIWA WATU 6 TOFAUTI,
NA WOTE WANAZO NYARAKA-

SASA HAPO ZINAANZA KESI MAHAKAMANI SASA-
THE STRONGEST DO SURVIVE,
THE WEAKEST END UP TO PERISH.

UNAPOENDA KUNUNUA ARDHI BAGAMOYO,
KUWA MAKINI SANA-
SANA NA SANA, NA TENA ZAIDI YA SANA!!!
WEKA AKILI YAKO MBELE, KISHA PESA NYUMA,
NA SIO PESA YAKO MBELE, KISHA AKILI NYUMA.

(Kama umemaindi herufi kubwa, unaweza sema nikupe mwongozo).
Ushauri huu muhimu sana,watu msiupuuzie
 
Nakushauri uoe mkeo mfungulie genge hapo home vibaka watapungua achana na ubaharia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom