Najuta, huyu binti anataka kunifunga

Najuta, huyu binti anataka kunifunga

Kaka sio kila maali unapoenda tuu were unakutanisha ivyo " vikojoleo ". Aya sasa pambana nadola kwanza
 
wazima humu? Kuna binti tulikutana nae kwenye mitandao ya kijamii tukiwa kama marafiki wa kawaida hatukuwahi kuingiziana mambo ya kimapenzi siku niliposafiri kikazi nilikua mkoani kwao kwa kua alikua home kwao alikuja mjini tukajuana tukapiga stori sana akaniambia alivyomaliza form 4 alifaulu ila shule aliyopelekwa hakuipenda kwa kua alikua anapatwa patwa na uza uza kwa hiyo yupo tuu home tulipiga stori nyingi nikamwacha aende home... baada ya siku mbili alikuja tena kwa pozi na mavazi aliyokuja nayo kiukweli nilipata wakati mgumu sana shetani akanipitia na tamaa ikanishika nikajaribu kurusha ndoano ikanasa tukavunja amri ya sita... sasa akanogewa akawa anaenda na anarudi baada ya siku mbili kiukweli yule binti alinipa stori ya aliyokua anafanya na x wake apo shetani ndiyo akatuingia nikawa nakula tope.. sasa niliporudi Dar baadae akaniambia amenasa ujauzito na hati... iliniweka katika wakati mgumu maana aninitisha Ana namba za wife na atamwambia.. badae aliingia fb akaanza kuwaambia dada zangu na kaka mpaka sasa wazazi pia wanajua kiukweli imeniweka katika wakati mgumu sana... sasa hii kali kuniambia kuwa nikae nikijua saa yoyote nitakamatwa na police kwa kua ndugu zake wamesema kua ni mwanafunzi sasa najiuliza huyu miaka 20 na siyo kwamba alikua shule maybe form 3 or 4m 4, je apa wandugu kweli katanifunga? na je nifanyeje maana nipo njia panda mchepuko sirudii tena na wala sitaki hivi videm vya kwenye social network kabisa... huyu shetani alinipitia tuu
Kwa kuwa ulimruhusu shetani akupitie jiandae na maisha ya jela,
 
Wenzio tukisema hatudate vilate teens na vianafunzi unadhani hatuna akili?
Sishughuliki na mwanamke yeyote alie shule au mwenye miaka fulani ambayo ni umri wa sekondari kwenda chini, hata kama nimemshuhudia akimaliza form six.
 
mkome kuchepuka. we una mkeo tamaa ya nini? nenda kanyee debe.
 
wazima humu? Kuna binti tulikutana nae kwenye mitandao ya kijamii tukiwa kama marafiki wa kawaida hatukuwahi kuingiziana mambo ya kimapenzi siku niliposafiri kikazi nilikua mkoani kwao kwa kua alikua home kwao alikuja mjini tukajuana tukapiga stori sana akaniambia alivyomaliza form 4 alifaulu ila shule aliyopelekwa hakuipenda kwa kua alikua anapatwa patwa na uza uza kwa hiyo yupo tuu home tulipiga stori nyingi nikamwacha aende home... baada ya siku mbili alikuja tena kwa pozi na mavazi aliyokuja nayo kiukweli nilipata wakati mgumu sana shetani akanipitia na tamaa ikanishika nikajaribu kurusha ndoano ikanasa tukavunja amri ya sita... sasa akanogewa akawa anaenda na anarudi baada ya siku mbili kiukweli yule binti alinipa stori ya aliyokua anafanya na x wake apo shetani ndiyo akatuingia nikawa nakula tope.. sasa niliporudi Dar baadae akaniambia amenasa ujauzito na hati... iliniweka katika wakati mgumu maana aninitisha Ana namba za wife na atamwambia.. badae aliingia fb akaanza kuwaambia dada zangu na kaka mpaka sasa wazazi pia wanajua kiukweli imeniweka katika wakati mgumu sana... sasa hii kali kuniambia kuwa nikae nikijua saa yoyote nitakamatwa na police kwa kua ndugu zake wamesema kua ni mwanafunzi sasa najiuliza huyu miaka 20 na siyo kwamba alikua shule maybe form 3 or 4m 4, je apa wandugu kweli katanifunga? na je nifanyeje maana nipo njia panda mchepuko sirudii tena na wala sitaki hivi videm vya kwenye social network kabisa... huyu shetani alinipitia tuu
shetan alikupitia ili muende wapi?
 
Hahaha
Hapo shetani hasahau hata kidogo mkuu

Nashangaa huyu shetani aliweza kupitia jamaa akadondoka na binti wa watu, cha ajabu watu huwa hawasemi au kuomba ushauri wakati shetani anawadanganya, wanakuja kuleta hizo habari wakati mambo yameshaharibika. Basi huyo huyo shetani atawapitia watu wasione kosa lake.
 
Kuna kesi zingine shetani atakuwa anazikataa tu maana hakuna namna sasa.
 
Back
Top Bottom