Najuta, huyu binti anataka kunifunga

Najuta, huyu binti anataka kunifunga

wamkodowenye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
261
Reaction score
294
Wazima humu?

Kuna binti tulikutana nae kwenye mitandao ya kijamii tukiwa kama marafiki wa kawaida hatukuwahi kuingiziana mambo ya kimapenzi siku niliposafiri kikazi nilikuwa mkoani kwao kwa kuwa alikuwa home kwao alikuja mjini tukajuana tukapiga stori sana akaniambia alivyomaliza form 4 alifaulu ila shule aliyopelekwa hakuipenda kwa kua alikua anapatwa patwa na uza uza kwa hiyo yupo tuu home tulipiga stori nyingi nikamwacha aende home.

Baada ya siku mbili alikuja tena kwa pozi na mavazi aliyokuja nayo kiukweli nilipata wakati mgumu sana shetani akanipitia na tamaa ikanishika nikajaribu kurusha ndoano ikanasa tukavunja amri ya sita. Sasa akanogewa akawa anaenda na anarudi baada ya siku mbili kiukweli yule binti alinipa stori ya aliyokua anafanya na x wake apo shetani ndiyo akatuingia nikawa nakula tope. sasa niliporudi Dar baadae akaniambia amenasa ujauzito na hati.

Iliniweka katika wakati mgumu maana aninitisha ana namba za wife na atamwambia badae aliingia Fb akaanza kuwaambia dada zangu na kaka mpaka sasa wazazi pia wanajua kiukweli imeniweka katika wakati mgumu sana. Sasa hii kali kuniambia kuwa nikae nikijua saa yoyote nitakamatwa na police kwa kua ndugu zake wamesema kuwa ni mwanafunzi sasa najiuliza huyu miaka 20 na siyo kwamba alikuwa shule maybe form 3 or 4m 4.

Je hapa wandugu kweli katanifunga? Na je nifanyeje maana nipo njia panda mchepuko sirudii tena na wala sitaki hivi videmu vya kwenye social network kabisa, huyu shetani alinipitia tuu.
 
wazima humu? Kuna binti tulikutana nae kwenye mitandao ya kijamii tukiwa kama marafiki wa kawaida hatukuwahi kuingiziana mambo ya kimapenzi siku niliposafiri kikazi nilikua mkoani kwao kwa kua alikua home kwao alikuja mjini tukajuana tukapiga stori sana akaniambia alivyomaliza form 4 alifaulu ila shule aliyopelekwa hakuipenda kwa kua alikua anapatwa patwa na uza uza kwa hiyo yupo tuu home tulipiga stori nyingi nikamwacha aende home... baada ya siku mbili alikuja tena kwa pozi na mavazi aliyokuja nayo kiukweli nilipata wakati mgumu sana shetani akanipitia na tamaa ikanishika nikajaribu kurusha ndoano ikanasa tukavunja amri ya sita... sasa akanogewa akawa anaenda na anarudi baada ya siku mbili kiukweli yule binti alinipa stori ya aliyokua anafanya na x wake apo shetani ndiyo akatuingia nikawa nakula tope.. sasa niliporudi Dar baadae akaniambia amenasa ujauzito na hati... iliniweka katika wakati mgumu maana aninitisha Ana namba za wife na atamwambia.. badae aliingia fb akaanza kuwaambia dada zangu na kaka mpaka sasa wazazi pia wanajua kiukweli imeniweka katika wakati mgumu sana... sasa hii kali kuniambia kuwa nikae nikijua saa yoyote nitakamatwa na police kwa kua ndugu zake wamesema kua ni mwanafunzi sasa najiuliza huyu miaka 20 na siyo kwamba alikua shule maybe form 3 or 4m 4, je apa wandugu kweli katanifunga? na je nifanyeje maana nipo njia panda mchepuko sirudii tena na wala sitaki hivi videm vya kwenye social network kabisa... huyu shetani alinipitia tuu

Tangu ufike jela miaka kadhaa imepita
Bora leo tuman umefike
Hebu akupe story za washkaj nyumban
 
Usihofu, shetani atawapitia tu watasahau.
 
Usijali mkuu sasa hivi sio miaka 30 ni 15 imepunguzwa
 
Huyo shetani yuko wapi hapo sasa au ni ujinga wako wewe jiandae na kuweka makazi selo namba tano hamna namna kwanza umemuharibu mdogo Sana,mimba umempachika na tope umefyatua tofari,je siku ya leber utakuwepo au
 
wazima humu? Kuna binti tulikutana nae kwenye mitandao ya kijamii tukiwa kama marafiki wa kawaida hatukuwahi kuingiziana mambo ya kimapenzi siku niliposafiri kikazi nilikua mkoani kwao kwa kua alikua home kwao alikuja mjini tukajuana tukapiga stori sana akaniambia alivyomaliza form 4 alifaulu ila shule aliyopelekwa hakuipenda kwa kua alikua anapatwa patwa na uza uza kwa hiyo yupo tuu home tulipiga stori nyingi nikamwacha aende home... baada ya siku mbili alikuja tena kwa pozi na mavazi aliyokuja nayo kiukweli nilipata wakati mgumu sana shetani akanipitia na tamaa ikanishika nikajaribu kurusha ndoano ikanasa tukavunja amri ya sita... sasa akanogewa akawa anaenda na anarudi baada ya siku mbili kiukweli yule binti alinipa stori ya aliyokua anafanya na x wake apo shetani ndiyo akatuingia nikawa nakula tope.. sasa niliporudi Dar baadae akaniambia amenasa ujauzito na hati... iliniweka katika wakati mgumu maana aninitisha Ana namba za wife na atamwambia.. badae aliingia fb akaanza kuwaambia dada zangu na kaka mpaka sasa wazazi pia wanajua kiukweli imeniweka katika wakati mgumu sana... sasa hii kali kuniambia kuwa nikae nikijua saa yoyote nitakamatwa na police kwa kua ndugu zake wamesema kua ni mwanafunzi sasa najiuliza huyu miaka 20 na siyo kwamba alikua shule maybe form 3 or 4m 4, je apa wandugu kweli katanifunga? na je nifanyeje maana nipo njia panda mchepuko sirudii tena na wala sitaki hivi videm vya kwenye social network kabisa... huyu shetani alinipitia tuu
Nyie Kuna Watu wanamoyo. Wew demu wa FB unamla Kavu kavu!!?? Seriously!!???daaaaaaaaaaahhhhh
 
Tatzo ulimega afu ukamuacha dilemma kama Vp heb msikilze anachotaka yey ni nin haswa
 
Upo njia panda kuelekea wapi mkuu..
 
Back
Top Bottom