thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Tulieni ,vyote mlivyolimbikiza awamu ya nne mpaka virudi vyote,special mission kurudisha raslimali za serikaliHuyu jamaa angekuwa rais wa Congo nadhani angekuwa anatembea na kikosi kizima Cha jeshi, yaani Kama hao wachache wasiompenda wanamtisha hivyo nadhani siku akijua wameongezeka either atatembea na kikosi kizima au ataongoza nchi akiwa Kigali