Najua wengi hatumpendi Rais Magufuli ila tunayaonaje haya?

Huyu mtu hadi anaondoka madarakani watu wengi watakuwa wamekufa kwa kukosa huduma bora huko mahospitalini kuliko kipindi cha chochote tangu nchi ipate uhuru
So hao watu hawakuweza kufa miaka yote iliyopita tangu miaka ya 60,70,80,90 2000, 2005, 2010, 2015 mpk leo 2019 ndo wanasubiri atoke mwaka kesho au 2025 ndo wafe.. So huko kote walikuwa wanapata huduma bora sio???

HAYA NAOMBA UNIJIBU; Roma Mkatoliki alivyoimba
"WAGONJWA WANAKUFA MAPOKEZI DOCTOR ANAKUNYWA VALUU, WAZAZI WANAKUFA LEBA WENGINE ICU"

alikuwa anaimba 2050 au bado natafakarii hivi huu unafki unafki ni nani aliturithisha jamaa, maana kama umeme unakatika afu bado unatoka nje kuchungulia kama umekatika kote na kuridhika baada ya kuona umekatika kote ndo maana ungekuta nyumba nyingine zinawaka ungekasirika coz hupendi kuona Jema/Zuri kwa mwenzio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vema akajibu kwa ushahidi,orodha yake,hivyo vitu vilipo na picha juu.Wapiga zumari wamekuwa na mbinu za ajabu sana ili mradi kuijenga hadaa tu.
Ukisikia Raisi kaenda mkoa flani uwe unaangalia basii, Haya nenda YouTube kasachi Magufuli Mtwara & Magufuli Ruvuma ukijionee mwenyewe kama bando huna basi ingia instagrama then search page inayoitwa "Ikulu_Mawasiliano" iko verified na Instagram with blue tick.. Utaona hizo pics na hakikisha unasoma Caption

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kukubaliana na wewe, Naona tajwimu na prove then kabla hujaleta hivyo naomba unishawishi kwa maelezo tuu japo kidogo hao watu wanakufaje, Kwamba magufuli anawaweka sumu, anawachinja au wanakufaje ila please naomba usiniambie hamna dawa za bure wakati Hizo dawa tunauziwa miaka nenda rudi ukiona umeshindwa kutoa prove then amini na wewe ni mmoja wa wanaookotwa na maneno ya watu na kufuata mkumbo bila kujua unaongea nini..

Yaani kiongozi mmoja wa upinzani akisema Magufuli kajinyea basi na wewe unaanza unalibeba kama lilivyo na unapokuta Mada au ukiwa na watu unaanza kusema Magufuli kajinyea..

JIFUNZE KUTOONGEA KITU AMBACHO HUNA UHAKIKA NACHO, JUST BECAUSE HUMPENDI MTU AU FLANI KASEMA KISA TUU KATOKA UPANDE WA UPINZANI.
Miaka yote watu wanakufa ila wakati huu ni zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hotuba na Ziara huangalii jitahidi muwe mnaagalia hata Taarifa za habari basii maana I guess hata viongozi wenu mnaowasujudia wanaangalia.. Nenda YouTube kaangalie "Andika Magufuli Mtwara au Magufuli Ruvuma" maana sio Hospital tuu, Zipo barabara pia sambamba na kuweka MAJI Vijijini na Shule za VETA anazidi kuzitengeneza na kuzizindua mkoa baada ya mkoa, akija kuondoka mkashindwa kuziendeleza mtajijua wenyewe
Hizo hospitali 67 zimejengwa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.
Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.
Wewe takataka, subiri mradi huo ufanikiwe kwanza ndio uanze kubwekabweka humu. Jiwe hajawahi kufanikiwa kwa lolote kwa kuwa siku zote hana nia njema.
:Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo.
Takataka
 
Mkuu, kaangalie Movie ya Sarafina, miaka ya 1989 kama sikosei, South African Africa walikua na Treni za Umeme

Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk
Kwani mi nimesema sisi ndio wa kwanza kutengeneza reli za umeme???

ILA NINGEPENDA UJUE KUWA

"Tanzania SGR itakuwa na uwezo wa kasi ya 160Km / h kwa kulinganisha na SGR kama vile Kenya na Afrika Kusini ambazo zinaweza hadi 120Km / h"

MAGUFULI ANAJARIBU KUJITUTUMUA MAANA WASOUTH AFRICA & WAKENYA HAWATUWEZI KWA LOLOTE, HAO KWETU BADO SANA, Basi tuu nchi yetu iliangukia kwenye mikono ya watu wenye Tamaa tuu kutokana na umasikini wao wakajilimbikizia mali ila sasa hawapo tena madarakani so Bwana Magufuli anajaribu kupita Njia za Mwalimu Nyerere ambaye alistaafu bila sent tofauti na mataira yaliyopita,

Amini.. "Sio wote wanaopenda madaraka na sio wote wenye tamaa za pesa"

Ukilijua hilii basi utaanza kuwa na Imani na huyu mzee, ni vile mmeshakremu viongozi wote wa CCM ni wezi wa kodi za wananchi na kula pesa zenu na watoto zao. Huyu mzee ni watofauti sana ila siwalaumu sana maana CCM iliyopita ndio imewatoa imani Watanzania wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ni mbaya miaka yote, sio tuu Tanzania hata huko marekani unapopafikiria.. Umasikia upo kila sehemu, hili haliwezi kukwepeka.. Na watu wangekuwa wanakufa kama unavyodai tumewezaje kufika Takwimu ya watu Million 57-60 in 2020??? Naomba jibu.. Watu kufa wanakufa, Upewe dawa, ukalazwe south africa au marekani, kama kufa utakufa tuu so acha kusikiliza maneno ya watu wanaoongea ongea na kupotosha watu kama nyie.. Ingekuwa kwelii kila hospital inatoa maiti Nchi nzima ingejua maana lingekuwa jambo la kushangazaa kuwa na maiti 50 kwa siku kwenye kila hospital.

Kama unawaona watu wale wale kila siku kwenye maisha yako ya kila siku na mimi pia ni hivyo hivyo so Again, sometimes jaribu kutumia akili yako aliyokupa Mungu au Wazazi wako usikiapo au uambiwapo japo.
Usilete ushabiki wa kisiasa kwenye maisha ya watu kusema ukweli huko mahospitalini hasa yale makubwa hali ni mbaya kuna makundi maalum kutokana na sera zilizokuwepo wakati huo yalikuwa yakipata nafuu kwa kiasi fulani hasa wamama wajawazito,wazee,watoto na wale wenye magonjwa sugu ya kuambukizwa na yasiyoambukizwa walikuwa wakipata nafuu ya matibabu lakini sasa hivi hao wote wasipokuwa na fedha hakuna huduma badala yake fedha zilizokuwa zikiwasaidia hao ndio zinaenda kwenye miradi hiyo unayoisifia huku wakijinadi mapato yameongezeka ndio maana wameweza kufanya hayo kumbe uongo mtupu wameamua kuua watu ili wapate 10%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So unachosema ni kwamba, Hakutakiwa kujenga Relii Inawezekana wenzio tupo tupo kama ulivyosema kutokana na elimu yetu duni, so embu tuambie wewe mwerevu je ulitaka ajenge nini maana Unaposema nataka kuanzisha Nchi Ya Viwanda it means una miundombinu ya kutosha ambayo itawavutia wawekezaji ili waweze kuwekeza kwenye Nchi yako..

Sasa anaanza kuweka miundombinu ya kisasa na kuboresha au kufufua iliyokufa mnamkebehi afu at a same time bado mnakaa vijiweni na kuanza kuulizana hivyo viwanda alivyosema viko wapi.. Yaani hapo tuu ndipo mnaponiachaga hoi mtanzania mimi nisie na elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hakutakiwa hiyo reli itakua na tija gani wakati ukanda husika hakuna mzigo wowote wa mmaana,matrioni yanawekezwa maeneo yasiyo na tija kubwa
Binafsi angewekeza kwenye mtandao mpana zaidi wa barabara,utalii na kuwakopesha watanzania wenye uwezo wa kujenga viwanda hasa vya kilimo na huduma za jamii,kama ni reli bora ingeenda congo na zambia
 
Mkuu tatizo lako umelishwa mataputapu ya siaa.

1. Reli sio kipaumbele cha Tanzania,
2. Algeria ina train ya umeme miaka mingi tuu

3. Vituo 352 ni pamoja na hizo hospitali 67


Kuna mambo ya msingi ambayo viongozi waliopita waliyafanya mazuri kuliko huyu jamaa
.
NAJUA WENGI HATUUPENDI UTAWALA WA RAISI MAGUFULI ILA TUKUMBUSHANE TUU:

1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.

Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.

Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.

2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..

HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.

Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAJUA WENGI HATUUPENDI UTAWALA WA RAISI MAGUFULI ILA TUKUMBUSHANE TUU:

1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.

Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.

Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.

2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..

HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.

Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sema haumpendi wewe
 
Ukweli mtu asiyeweza kumshukuru mungu hataweza kumshukuru binadamu: makufuli ni rais mzuri kutokea kawazidi wote huo ndio ukweli lakini ana mapungufu ya kiubinadamu lakini mapungufu hayo kidogo sio kuchukulia ndio hafai nooo, na ubaya wanaoufanya mawaziri lawama ni rais makufuli na yeye ndio maana anawaondoa
 
NAJUA WENGI HATUUPENDI UTAWALA WA RAISI MAGUFULI ILA TUKUMBUSHANE TUU:

1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.

Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.

Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.

2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..

HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.

Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.



Sent using Jamii Forums mobile app
Na Tazara ilijengwa mwaka gani vile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom