heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,762
- 8,715
najua wajua humu jf wasomi ni wengi ila robo tatu ya wote hawajui kutumia akili zao vizuri -najua wajua ila nataka nikujuze zaidi Tanzania ni nchi yenye viongozi wenye upeo mdogo zaidi wa kufikiri kuliko popote duniani ongeza mengine nataka nijue zaidi