Najivunia kusoma UDOM

Najivunia kusoma UDOM

Udom ni chuo cha kusukumiza siku ziende, hakuna mwanzafunzi ndoto yake kusoma UDOm. Wengi huangukia UDOM sababu ya matokeo kuwa mabovu

Hata mimi nilipomaliza form 6 nilioata Div 1 ya 8, kozi nukiyokua nataka UD ilikua na ushindani nikaambiwa naweza nisipate hivyo niangalie na vyuo vingine ndio mawazo ya Udom yalipokuja. Japokuwa nilipata
Kwahyo mkuu umesoma yudom MD
 
Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
Sisi tulio soma abroad na Bado hatuvimbi......😂😂🤣🤣
University of Massachusetts,
Massachusetts huu mji ndio una colleges na university nyingi ukiwa united State of America.....

UNIVERSITY OF KWAZULU NATAL,
Mm pia ni Alumin,
Kwa ambao hawajui hii university of kwazulu natal ipo DURBAN

🤓🤓🤓😊😊😊😊
 
Halafu bado unalia na Utumishi
Mkuu hii comment unamlenga nani?!!
🤣🤣🤣🤣😂😂😂

Sisi wengine tulienda shule 😊🤓 Ili tukombolewe ki fikra Hilo tu lilitoshaaaaaa......
Mimi
ELIMU kwangu ni Confidence..Sina excuse...
Kuna Rafk yangu mmoja yeye hakubahatika kusoma Ali ishia standard seven ni fundi seremala mzur sana...
Huwa ana excuse kua yeye hajasoma....
Degrees hazijawai kunifanya kujivuna na kujikweza
Binafsi nilisha sukuma mkokoteni wa kuuza maji, nilishafanya kilimo biashara, nilisha saidia fundi, nilisha beba boksi sana, uza barafu..

Today Am here....

Umaskini nimeukimbiza kilometer nyingi sana 🤓🤓🤓😊😆🤓🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣😂😂🤣🤣😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣
 
Nakubaliana na wewe huwez kuta kipanga wa Div 1.3 mpk 1.7 advance Yuko Udom pale wanaanzia Div 3 na 4
Udom ni chuo wanaenda watu walioperform kawaida na kukosa vyuo vya maana kama UD. Hakuna mwanafunzi anayefanya vizuri ndoto yake ni kusoma Udom
 
Kwahyo mkuu umesoma yudom MD
Sijui ingekuwaje kama ningesoma udom, nahisi ningehairisha chuo kwa kipindi hiko mpaka pale nafasi ingepatikana UD. Nenda kasome udom Kama huna namna nyingine kwenye vyuo vingine hasa UD, au Muhimbili kwa kozi za afya
 
Udom ni chuo wanaenda watu walioperform kawaida na kukosa vyuo vya maana kama UD. Hakuna mwanafunzi anayefanya vizuri ndoto yake ni kusoma Udom
Udsm course moja udahili wanafunzi 20 au 30, Kwahiyo nyinyi mnataka wanafunzi wengine waliofaulu wasipate udahili kisa Udsm. Udom au SUA n.k unakuta capacity ya course moja ni 150....waacheni watu wasome maana aliyesoma udsm na aliyesoma SUA au UDOM mkimaliza nyote mnakutana utumishi.
 
Mi nadhani wote walio comment kwa kumshambulia mtoa mada ni wepesi sana kichwani. Wenye akili ni wale walioanza kwa kuuliza aina ya software alizosoma mtoa mada ili wakijibiwa ndo waanze kutoa maoni kinzani. Utakuta hawa ndo wanajinasibu kuwa ndo wasomi wa Tanzania tena kutoka Udsm wakati reasoning capacity yao ni ndogo kuliko hata mtoa mada.
 
Udom ni chuo wanaenda watu walioperform kawaida na kukosa vyuo vya maana kama UD. Hakuna mwanafunzi anayefanya vizuri ndoto yake ni kusoma Udom
Hv kwa uelewa huu na ww ulimaliza pale Udsm au ulidisco mbona unaaibisha chuo.
 
Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
UDOM cozi mbili wanatisha mno mambo ya IT has GIS,Remote Sensing na mengine wapi vizuri mnono.

Kozi nyingine Afya kuna Hospital ya mkapa kubwa vifaa kama vyote.
 
Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
UDOM cozi mbili wanatisha mno mambo ya IT has GIS,Remote Sensing na mengine wapi vizuri mnono.

Kozi nyingine Afya kuna Hospital ya mkapa kubwa vifaa kama vyote.
 
Back
Top Bottom