Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,004
- 10,406
Wanazoa zoa div 3,4 😅😅
Unaandika Kama mwanafunzi wa shule ya msingi ngarenaroJamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
Mkuu mbona unaweka maneno yasiyo ya kueleweka?Wanazoa zoa div 3,4 😅😅
Huyo jamaa ni mjinga,amekidhalilisha chuo alichosoma.Unaandika Kama mwanafunzi wa shule ya msingi ngarenaro
Hakuna tafiti ya maana UDOM acha kuwa ndezi. Someni tu maisha yaende Ila msitake kuanza kutuongopea hapa.Ukijiuliza kwanini unakiita hivi,huna sababu ya msingi,ila ulisikia tu watu wanasema hivi,nenda UDOM uone tafiti na vumbuzi mbalimbali.
Sawa,ni chuo cha kata,nenda uone ubora wa chuo cha kata.
Watanzania tuna shida sana.
Hakuna mwanafunzi aloyeperform vizuri anaenda kusoma UDOM. UDOM ilianzishwa ili kukidhi na wale ambao hawakufanya sana vizuri form 6, wakati huo 2007. Zamani weye Div 3 n abaadhi Div 2 walikua wanakosa nafasi ya kusoma pale UD, ndio ikaja UDOM Kama mkombozi. Ikawa inazoa wote woteMkuu mbona unaweka maneno yasiyo ya kueleweka?
Hivi ulimwengu wa leo unasemea ubora wa chuo kwa kuwaza wanafunzi wanaoenda kusoma?,
Vipi UDSM hawachukui hizo three?
Okay,nikuache,huu ni uwezo wako na mtazamo wako.
Sasa hizo tafiti za UDSM zimesaidia nini Nchi?,as long as upo Afika we lala,kula na kunya na kusubiri kufa.Afrika uwe na akili asiwe na akili wote ni zero tu.Hakuna tafiti ya maana UDOM acha kuwa ndezi. Someni tu maisha yaende Ila msitake kuanza kutuongopea hapa.
Hakuna mwanafunzi bright aliyefaulu vizuri sana akaenda kusoma UDOM
huo mwaka 2007 kama ulikuwa na division 3 ulikuwa unaweza kusoma UDSM kama utajilipia mwenyewe nina jamaa zangu wengi sana wamesoma mwaka 2007-2010 wakiwa na hizo division 3 but walijilipia.Hakuna mwanafunzi aloyeperform vizuri anaenda kusoma UDOM. UDOM ilianzishwa ili kukidhi na wale ambao hawakufanya sana vizuri form 6, wakati huo 2007. Zamani weye Div 3 n abaadhi Div 2 walikua wanakosa nafasi ya kusoma pale UD, ndio ikaja UDOM Kama mkombozi. Ikawa inazoa wote wote
Udom chuo cha waliofeliMkuu mbona unaweka maneno yasiyo ya kueleweka?
Hivi ulimwengu wa leo unasemea ubora wa chuo kwa kuwaza wanafunzi wanaoenda kusoma?,
Vipi UDSM hawachukui hizo three?
Okay,nikuache,huu ni uwezo wako na mtazamo wako.
Hii umeitoa wapi mkuu?Hakuna mwanafunzi aloyeperform vizuri anaenda kusoma UDOM. UDOM ilianzishwa ili kukidhi na wale ambao hawakufanya sana vizuri form 6, wakati huo 2007. Zamani weye Div 3 n abaadhi Div 2 walikua wanakosa nafasi ya kusoma pale UD, ndio ikaja UDOM Kama mkombozi. Ikawa inazoa wote wote
Asante kwa ukweli huu.huo mwaka 2007 kama ulikuwa na division 3 ulikuwa unaweza kusoma UDSM kama utajilipia mwenyewe nina jamaa zangu wengi sana wamesoma mwaka 2007-2010 wakiwa na hizo division 3 but walijilipia.
Ambao walikuwa hawapati nafasi ni ambao walikuwa wanahitaji kulipiwa na bodi ya mikopo.
Umeona ulipokimbilia? Ulisifia udom kwa tafiti, baada ya kukubana unakuja kuniuliza tafiti za udsm zimesaidia nini.Sasa hizo tafiti za UDSM zimesaidia nini Nchi?,as long as upo Afika we lala,kula na kunya na kusubiri kufa.Afrika uwe na akili asiwe na akili wote ni zero tu.
Ingekua hivyo basi UD ingefulika, maana Kama wazazi waliweza kulipa ada sekondari milioni 2 wasingeshindwa kulipa ada milion 1.5 ya UDhuo mwaka 2007 kama ulikuwa na division 3 ulikuwa unaweza kusoma UDSM kama utajilipia mwenyewe nina jamaa zangu wengi sana wamesoma mwaka 2007-2010 wakiwa na hizo division 3 but walijilipia.
Ambao walikuwa hawapati nafasi ni ambao walikuwa wanahitaji kulipiwa na bodi ya mikopo.
Udom ni chuo cha kusukumiza siku ziende, hakuna mwanzafunzi ndoto yake kusoma UDOm. Wengi huangukia UDOM sababu ya matokeo kuwa mabovuAsante kwa ukweli huu.
Udom ilianzishwa kukidhi mahitaji ya shule nyjngi zilizoanzishwa,haya mambo haya mengine ni mawazo ya watu tu.
Udom tunayosema ubora wake ni mbaya,wahadhiri wengi walitoka udsm,akiwa udsm anatoa graduate wazuri akiwa udom wanakua wabaya,kwa maana hii utaona ni mawazo ya watu wachache tu.
Nakubaliana na wewe huwez kuta kipanga wa Div 1.3 mpk 1.7 advance Yuko Udom😅😅 pale wanaanzia Div 3 na 4Hakuna mwanafunzi aloyeperform vizuri anaenda kusoma UDOM. UDOM ilianzishwa ili kukidhi na wale ambao hawakufanya sana vizuri form 6, wakati huo 2007. Zamani weye Div 3 n abaadhi Div 2 walikua wanakosa nafasi ya kusoma pale UD, ndio ikaja UDOM Kama mkombozi. Ikawa inazoa wote wote
Ukweli ni kwamba usifananishe UDOM na vyuo chakavu vya zamani sanaWatu kama ninyi mnafanya Udom ionekane ya hovyo.
Hivi katika haya uliyoandika mtu anaweza kujua Udom kuna nini bora kuacha vyuo vingine?
Tuwe serious kidogo aisee.
Poaaa.Udom ni chuo cha kusukumiza siku ziende, hakuna mwanzafunzi ndoto yake kusoma UDOm. Wengi huangukia UDOM sababu ya matokeo kuwa mabovu
Hata mimi nilipomaliza form 6 nilioata Div 1 ya 8, kozi nukiyokua nataka UD ilikua na ushindani nikaambiwa naweza nisipate hivyo niangalie na vyuo vingine ndio mawazo ya Udom yalipokuja. Japokuwa nilipata
Ila kuna wadada wazuri huku yudom .Udom ilianzishwa kukidhi mahitaji ya shule za kata Maana wanaosoma shule za kata Olevel ufaulu wao advance ni mdogo pia so wanakusanywa huko Coed😅😅😅