Juma sarige
New Member
- Jan 22, 2020
- 4
- 11
Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
Labda spss 😃😃 atakua may b zile tunazotumia kipindi cha research yeye kazijua huko yudomSoftware gani?
si mbaya,kuna watu wanasema udsm ni shida hata kusoma hizo.Labda spss 😃😃 atakua may b zile tunazotumia kipindi cha research yeye kazijua huko yudom
Mi nikajua wanafanya codingLabda spssatakua may b zile tunazotumia kipindi cha research yeye kazijua huko yudom




LabdaMi nikajua wanafanya coding
Msemo usio na maana.Chuo cha kata![]()
Kama kweli wewe ni graduate kwa maandishi haya basi umetukanisha walimu wako na chuo cha UDOM.Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
software ghani izo?Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
Siku hizi Udom wako vizuri. Hata ajira za utumishi wahitimu wake wanapita nazo sana. Vyuo vingine ni kama vimesimama sijui shida ni nini.Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia

Hivi unatania??Huu ndio ukweli,ambao watu hawataki kuusikia.Siku hizi Udom wako vizuri. Hata ajira za utumishi wahitimu wake wanapita nazo sana. Vyuo vingine ni kama vimesimama sijui shida ni nini.
Chuo cha kataJamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
Ukijiuliza kwanini unakiita hivi,huna sababu ya msingi,ila ulisikia tu watu wanasema hivi,nenda UDOM uone tafiti na vumbuzi mbalimbali.Chuo cha kata