Biswalo akipatwa na hatia, Rais ataonekana alimteua mtu kuwa Jaji bila vetting.Wadau nawasalimu.
Baada ya kusikia na kusoma Taarifa ya CAG juu ya Ushauri wa CAG kuwa Jaji Biswalo ACHUNGUZWE kuhusiana na PLEA BARGAINING nimekuwa napata KIGUGUMIZI kuwa, je ANACHUNGUZIKA?
View attachment 2581651
Wadau nawasalimu.
Baada ya kusikia na kusoma Taarifa ya CAG juu ya Ushauri wa CAG kuwa Jaji Biswalo ACHUNGUZWE kuhusiana na PLEA BARGAINING nimekuwa napata KIGUGUMIZI kuwa, je ANACHUNGUZIKA?
View attachment 2581651
Kwenye chess hii huitwa zungzwang, achague kipi kimojawapo lakini lazima achague. Jibu ni rahisi: DPP ni kazi ngumu, kumbuka sasa hivi taharuki iliyopo kuhusu ripoti ya CAG kuhusu hela za UVIKO na ndege overinvoicing. Biswalo yalikabili haya haya, akatimiza wajibu wake, in the process anapata maadui wengi watatumia mbinu zozote zile kulipa kisasi. Tayari wanasema Rais ajiuzulu, DPP wake je?Biswalo akipatwa na hatia, Rais ataonekana alimteua mtu kuwa Jaji bila vetting.
Biswalo asipopatikana na hatia, Rais ataonekana anatuchezea shere.
Kwenye mchezo wa chess hii ni checkmate.
Biswalo hakutimiza wajibu wake.Kwenye chess hii huitwa zungzwang, achague kipi kimojawapo lakini lazima achague. Jibu ni rahisi: DPP ni kazi ngumu, kumbuka sasa hivi taharuki iliyopo kuhusu ripoti ya CAG kuhusu hela za UVIKO na ndege overinvoicing. Biswalo yalikabili haya haya, akatimiza wajibu wake, in the process anapata maadui wengi watatumia mbinu zozote zile kulipa kisasi. Tayari wanasema Rais ajiuzulu, DPP wake je?
Hii nchi ya hovyo sana, kila kitu kiko wazi juu ya alichokifanyq mganga sasa sijui kigugumizi kinatoka wapi??Biswalo hakutimiza wajibu wake.
Angetimiza wajibu wake kusingekuwa na kashfa ya Plea Bargaining kama ilivyo sasa.
Sio TanganyikaWadau nawasalimu.
Baada ya kusikia na kusoma Taarifa ya CAG juu ya Ushauri wa CAG kuwa Jaji Biswalo ACHUNGUZWE kuhusiana na PLEA BARGAINING nimekuwa napata KIGUGUMIZI kuwa, je ANACHUNGUZIKA?
View attachment 2581651
Watu wanamsikiliza "Mama".Hii nchi ya hovyo sana, kila kitu kiko wazi juu ya alichokifanyq mganga sasa sijui kigugumizi kinatoka wapi??
Wafanya maamuzi wanaogopa nn?? Au ndio hii nchi tumewakbidhi majambazi??
Bunge linafanya nini?? Au liko pale kubaliki wezi, kweli juu ya bunge dictator JPM the devil and evil alituangusha sana, moto wa jehanamu uzidi kumchoma
Kile kikundi cha kiharamia Cha Wana CCM unawezaje kukiita bunge??Ni bunge hili hili la OVYO ndio lililopitisha sheria ya kinga kwa ndugu Biswalo. Bunge la ovyo, OVYO kabisa kupata kutokea
ORCA ACE kwenye chumba cha mahututi nani anaweza kuwa tabibu?Hii nchi ya hovyo sana, kila kitu kiko wazi juu ya alichokifanyq mganga sasa sijui kigugumizi kinatoka wapi??
Wafanya maamuzi wanaogopa nn?? Au ndio hii nchi tumewakbidhi majambazi??
Bunge linafanya nini?? Au liko pale kubaliki wezi, kweli juu ya bunge dictator JPM the devil and evil alituangusha sana, moto wa jehanamu uzidi kumchoma
Tume ya Mama sasa akiwa "Site"Tungekuwa na bunge serious hii serikali ingeanguka mwezi huu, lakini ni nani msafi kati yao? Kumgusa Biswalo ni kuigusa system nzima maana wanajuana kila mmoja kala ngapi
Kumchomoa Biswalo kwenye hili kuna mambo yaweza kufanyika kwa haraka
1. Kuundwa tume mfu ambayo baada ya uchunguzi majibu hayatatolewa.. Hapa ni ishu ya kucheza na muda ama pressure ikiwa kubwa atatafutiwa ubalozi
2. Kutaundwa tukio la kutusahaulisha ama kutupoza haya ya Biswalo, sasa hapa ni ishu ya mbuzi wa kafara, ni lazima kati yao wapatikane wachache wa kuwajibishwa lakini kwa makubaliano maalum ya siri, kwakuwa bila kufanya makubaliano hakuna atakayekubali kubeba gunia la chawa kwa niaba ya wengine.. Tuupe muda wakati
[emoji3][emoji3][emoji3]Tume ya Mama sasa akiwa "Site"View attachment 2581770