Najitoa... CHADEMA Najiunga... CCM

Kina jesiika
 
Karibu mkuu.Sasa concerns zote JPM anazishuhulikia, unakaa upinzani kufanya nini.Sasa hivi dili ni CCM,vinginevyo utaonekana mwehu tu ukizidi kukaa upinzani.

Umesoma alama za nyakati mkuu,hongera sana.Hata Lema kagwaya.Naona kaishiwa pumzi,hana pa kushika.
 

Mazezeta wa Lumumba mnajua sana kukurupuka, wavivu wa kusoma, mkiona vichwa vya habari mnaingia wazima wazima.
 
Unatafuta kiki kwangu.


Swissme
Ninawezaje kutafuta kiki kwa mtu asiyetumia hata 2% ya ubongo wake kufikiria?
Yaani wewe kila kitu ni kukurupuka tu na ndo maana wengi tunakushangaa ulivyokurupuka hapo.
Jitahd uwe unafikiria hata kidogo duu!!!
Hata hivyo sidhani kama wewe una ubongo uliosawa maana unadhid kujidhihirisha tu kila cku humu!!!
 
Sibishane na zwagalaaa.


Swissme
 
Mazezeta wa Lumumba mnajua sana kukurupuka, wavivu wa kusoma, mkiona vichwa vya habari mnaingia wazima wazima.
Mkuu, hukuona jamaa zako wa Ufipa FC walivyokurupuka? Au umeamua kuwa na makengeza?
 
Mazezeta wa Lumumba mnajua sana kukurupuka, wavivu wa kusoma, mkiona vichwa vya habari mnaingia wazima wazima.
Dah,sawa mkuu Mwenyekiti wenu si Ex-Form IV,hayo ndiyo aliyowaridhisha.Muembe hauwezi kuzaa Chungwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…