Aisee pole
Pray harder na uamini Mungu atakubadilisha maana tayari una nia ya dhati ya kubadilika .
Nakuombea ubadilike kwa Jina la Yesu Kristo.
Amen
Mi sijakuhukumu mkuu ila nimekuandikia tu mstari wa kwenye Bible maana umekiri hua unasomaga so unaweza kukusaidia
Kama ulijua daahUtaoa na utaendelea kula mbususu..
Maendelea hayana vyama..
Safi kabisaKijana mdogo kama wewe miaka 32 tu unataka kuacha kuchakata mbususu ili ufanye nini? Baba yako mwenyewe bado anazichakata we ni nani uache? Cha msingi kua na mademu wachache wanaoeleweka sio hao wa kununua mitaani, wapangie ratiba ambayo haitakuchosha. Lets say kila baada ya siku mbili unakula mmoja kwa afya. Ukisafiri beba mmoja nenda nae.
Maisha ni hayahaya mkuu.
Wee jamaa endelea kujifunga kimaamuziHabari za wakati huu ndugu zangu.
Ngoja niende moja kwa Moja kwenye maada yangu. Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 32. Nilimaliza chuo miaka kadhaa huko Nyuma. Miaka imekwenda miaka inakimbia, Nilikuwa sina mpango wa kuoa ila sasa hivi wazo kuoa limekuwa likinijia mara kwa mara sana tu.
Kipindi Cha Nyuma huko Nilikuwa ni mtu wa Dini kiasi fulani pamoja na kuwa mtu wa Dini, Nilikuwa nafukuzia mbususu sana tu ila sikuwa na success rate kubwa kwa sababu labda Pesa kipindi nikiwa mwanafunzi zilikuwa za mawazo (Boom).
Anyway, Kwa sasa niko kwenye Mpango wa kuoa na nimemaliza makolokolo mengine na kubakiza siku ya harusi na Mungu akijalia mwezi wa Kumi nitaoa. Ila sasa kwenye hiki kipindi, nimeanza mpango wa kuacha kuchovya chovya hovyo ila kwenye mpango huu najikuta napandwa na Ngenye ni balaa. Mke mtarajiwa anajitahidi sana kwenye kunisaidia hilo kimwili ila sasa ikitokea niko mbali yaani najikuta nakuwa nazo nyingi kiasi kwamba nakuwa kama mtu ambaye sijafanya siku nyingi.
Mwezi uliopita Julai nilipata ki fursa cha kwenda semina mkoa X kwa muda mwezi mzima. Kuna wakati nafululiza siku sita au saba kila siku nachakata Mbususu ila Jambo ambalo silielewi ni kwamba kila nikipiga kile kimoja tu Najisikia kama nimemkosea sana Mchumba wangu na ninakosa hata hamu ya kuendelea na round ya mbili.
Yaani naanza kuwaza sasa hii hali sijui ni nini ??
Naanza kujilaumu tena na kujiona mwenye makosa sana. Asubuhi nimeamka vizuri tu nikiiambia nafsi yangu naacha Umalaya nikasoma na Biblia. Sasa imefika Jioni sasa akili yangu ikanituma toka ukatembee nilikoenda huko nimejikuta nakuwa na Nyege sana mpaka nikaenda kununua dada poa na nilikuwa nimeongea naye usiku mzima ila baada tu ya round ya kwanza ile hali ikaja tena, Nikakosa hamu nikabaki mtu wa kujilaumu. Basi yule dada akaniuliza mbona umekuwa hivyo nikamwambia kichomi kimenibana siwezi kuendelea..! Nikamwambia nimpe nusu ya Gharama tuliyokubaliana mwanzo. Nimebaki room pekee yangu ameondoka najihisi vibaya sana basi tu wakuu.
Natamani niache kuchovya chovya maana hii tabia imenidumbukiza kwenye Majukumu ambayo sikupanga. Natamani niachane na huu Umalaya ndugu zangu ila nashindwa nikisema tu niblock hawa side chicks wote Ngenye zinapanda na mawazo yanabadilika na Unblock na kuwa text na wao si unajua tena wadada wakijua una kazi na kausafiri ni kutekenya.
NINATAKA NIACHE UMALAYA, KWA HII HALI NILIYONAYO MWENYEWE NAJIONEA HURUMA KWA KWELI. NAJIHISI KAMA SIO MIMI VILE
Sawa BossMajukumu yakikukaba utajifunza kujilimit
Mie nainjoyigi nikiwa nasikia miguno miguno ile, sasa hiyo toi si kama nyeto tuNunua sex toy ya mwanaume . Naonaga watu wanauza instagram sex toy za wanawake na za wanaume
Kama upo dar njoo kwny hospital ya Masister ya Edward ipo karibu na kwa kakobe maombi huwa ni jumamos kuanzia saa 3Nashukuru sana ndugu kwa Ushauri huu. Nitamtafuta Mchungaji wa Kanisa ninaloabudu. Ahsante sana
ushauri mzuri ukiupuuzia kifo kinakuitaHapo kama na mkristo nenda kwny maombi muislam nenda kwny dua bila hvyo ningumu kuepuka, vijana wengi tunapitia hiyoo situation
Peleka moto, wapeleke moto