Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 665
- 902
- Thread starter
- #41
unaposema unajihisi sio wewe, uko sawa kabisa. it's not you! ni roho nyingine inakushawishi yote hayo unayopitia!
nakushauri ukaombewe. nenda kwa mtu unaeamini anaombea watu na wanafanikiwa.
sijajua uko wapi. kama upo dar, nenda kwa mchungaji MWAMPOSA, ukaombewe.
piaa kama kuna wazee wa zamani wa ukoo wako, waeleze poa. waliokutangulia kuzaliwa, wanayajua mengi!
ipo siku utanishukuru, kwa ushauri huu!
Nashukuru sana ndugu kwa Ushauri huu. Nitamtafuta Mchungaji wa Kanisa ninaloabudu. Ahsante sana