Najionea huruma kwa hatua niliyonayo kwa sasa

Habari za wakati huu ndugu zangu.
Ngoja niende moja kwa Moja kwenye maada yangu. Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 32. Nilimaliza chuo miaka kadhaa huko Nyuma. Miaka imekwenda miaka inakimbia, Nilikuwa sina mpango wa kuoa ila sasa hivi wazo kuoa limekuwa likinijia mara kwa mara sana tu.

Kipindi Cha Nyuma huko Nilikuwa ni mtu wa Dini kiasi fulani pamoja na kuwa mtu wa Dini, Nilikuwa nafukuzia mbususu sana tu ila sikuwa na success rate kubwa kwa sababu labda Pesa kipindi nikiwa mwanafunzi zilikuwa za mawazo (Boom).
Anyway, Kwa sasa niko kwenye Mpango wa kuoa na nimemaliza makolokolo mengine na kubakiza siku ya harusi na Mungu akijalia mwezi wa Kumi nitaoa. Ila sasa kwenye hiki kipindi, nimeanza mpango wa kuacha kuchovya chovya hovyo ila kwenye mpango huu najikuta napandwa na Ngenye ni balaa. Mke mtarajiwa anajitahidi sana kwenye kunisaidia hilo kimwili ila sasa ikitokea niko mbali yaani najikuta nakuwa nazo nyingi kiasi kwamba nakuwa kama mtu ambaye sijafanya siku nyingi.

Mwezi uliopita Julai nilipata ki fursa cha kwenda semina mkoa X kwa muda mwezi mzima. Kuna wakati nafululiza siku sita au saba kila siku nachakata Mbususu ila Jambo ambalo silielewi ni kwamba kila nikipiga kile kimoja tu Najisikia kama nimemkosea sana Mchumba wangu na ninakosa hata hamu ya kuendelea na round ya mbili.
Yaani naanza kuwaza sasa hii hali sijui ni nini ??

Naanza kujilaumu tena na kujiona mwenye makosa sana. Asubuhi nimeamka vizuri tu nikiiambia nafsi yangu naacha Umalaya nikasoma na Biblia. Sasa imefika Jioni sasa akili yangu ikanituma toka ukatembee nilikoenda huko nimejikuta nakuwa na Nyege sana mpaka nikaenda kununua dada poa na nilikuwa nimeongea naye usiku mzima ila baada tu ya round ya kwanza ile hali ikaja tena, Nikakosa hamu nikabaki mtu wa kujilaumu. Basi yule dada akaniuliza mbona umekuwa hivyo nikamwambia kichomi kimenibana siwezi kuendelea..! Nikamwambia nimpe nusu ya Gharama tuliyokubaliana mwanzo. Nimebaki room pekee yangu ameondoka najihisi vibaya sana basi tu wakuu.

Natamani niache kuchovya chovya maana hii tabia imenidumbukiza kwenye Majukumu ambayo sikupanga. Natamani niachane na huu Umalaya ndugu zangu ila nashindwa nikisema tu niblock hawa side chicks wote Ngenye zinapanda na mawazo yanabadilika na Unblock na kuwa text na wao si unajua tena wadada wakijua una kazi na kausafiri ni kutekenya.

NINATAKA NIACHE UMALAYA, KWA HII HALI NILIYONAYO MWENYEWE NAJIONEA HURUMA KWA KWELI. NAJIHISI KAMA SIO MIMI VILE
Kumbe unasoma na Bible...kuna mstari humo umeandika...'mshahara wa dhambi ni mauti' mkuu
 
tafuta michepuo 2, ukisafiri nenda na mmoja wapo huko, kwa ratiba, wiki hii huyu wiki hii yule,

achana na 'wauzaji' wa mafungu,
 
Inaonekana huna hobby..baada ya kazi unakua free tu nakuwaza papuchi....na kampani yako pia mnaongelea mademu tu.

Cha msingi fanya hata mazoezi epuka marafik wapenda ngono.ukiwa mbali na mpenzi wako ongea nae muda mwingi na pia fikiria mazuri yake na mipango yenu.
 
Mi umeniacha hoi ulivyoandika 'raundi ya mbili'

Unajua inawezekana ukajiona wewe malaya lakini actually ni una nyege za hapa na pale za kulipizia kukosa K kipindi unakula msoto.

Yaani bro inaonyesha pia hauwezi kuongea na hauwezi kumteka mtu ndiyo maana kipindi cha msoto K zilikua zinakupitia mbali na ukaamua mpaka kusoma biblia. Umevuka msoto sasa unafanya malipizi.

Wewe ungekuja kukaa mtaani kwetu hata mwezi tu ili wenge likuishe ukutane na watoto wakali wa Kairuki na wa kienyeji wa palepale ungetulia.
 
Hiyo hali ya kawaida kwa yeyote ambae anatarajia kufunga ndoa... Ukichepuka unajiona mwenye dhambi kinoma... Na ukisema uvumilie nyege zinakujaa kama zote unashindwa kujizuia...
USIHOFU PIGA SHOW ZA NJE MAANA HATA UKIINGIA KTK NDOA HIZO SHOW ZA NJE HAZIKWEPEKI TENA ZITAKUA TAM...
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Ngoja niende moja kwa Moja kwenye maada yangu. Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 32. Nilimaliza chuo miaka kadhaa huko Nyuma. Miaka imekwenda miaka inakimbia, Nilikuwa sina mpango wa kuoa ila sasa hivi wazo kuoa limekuwa likinijia mara kwa mara sana tu.

Kipindi Cha Nyuma huko Nilikuwa ni mtu wa Dini kiasi fulani pamoja na kuwa mtu wa Dini, Nilikuwa nafukuzia mbususu sana tu ila sikuwa na success rate kubwa kwa sababu labda Pesa kipindi nikiwa mwanafunzi zilikuwa za mawazo (Boom).
Anyway, Kwa sasa niko kwenye Mpango wa kuoa na nimemaliza makolokolo mengine na kubakiza siku ya harusi na Mungu akijalia mwezi wa Kumi nitaoa. Ila sasa kwenye hiki kipindi, nimeanza mpango wa kuacha kuchovya chovya hovyo ila kwenye mpango huu najikuta napandwa na Ngenye ni balaa. Mke mtarajiwa anajitahidi sana kwenye kunisaidia hilo kimwili ila sasa ikitokea niko mbali yaani najikuta nakuwa nazo nyingi kiasi kwamba nakuwa kama mtu ambaye sijafanya siku nyingi.

Mwezi uliopita Julai nilipata ki fursa cha kwenda semina mkoa X kwa muda mwezi mzima. Kuna wakati nafululiza siku sita au saba kila siku nachakata Mbususu ila Jambo ambalo silielewi ni kwamba kila nikipiga kile kimoja tu Najisikia kama nimemkosea sana Mchumba wangu na ninakosa hata hamu ya kuendelea na round ya mbili.
Yaani naanza kuwaza sasa hii hali sijui ni nini ??

Naanza kujilaumu tena na kujiona mwenye makosa sana. Asubuhi nimeamka vizuri tu nikiiambia nafsi yangu naacha Umalaya nikasoma na Biblia. Sasa imefika Jioni sasa akili yangu ikanituma toka ukatembee nilikoenda huko nimejikuta nakuwa na Nyege sana mpaka nikaenda kununua dada poa na nilikuwa nimeongea naye usiku mzima ila baada tu ya round ya kwanza ile hali ikaja tena, Nikakosa hamu nikabaki mtu wa kujilaumu. Basi yule dada akaniuliza mbona umekuwa hivyo nikamwambia kichomi kimenibana siwezi kuendelea..! Nikamwambia nimpe nusu ya Gharama tuliyokubaliana mwanzo. Nimebaki room pekee yangu ameondoka najihisi vibaya sana basi tu wakuu.

Natamani niache kuchovya chovya maana hii tabia imenidumbukiza kwenye Majukumu ambayo sikupanga. Natamani niachane na huu Umalaya ndugu zangu ila nashindwa nikisema tu niblock hawa side chicks wote Ngenye zinapanda na mawazo yanabadilika na Unblock na kuwa text na wao si unajua tena wadada wakijua una kazi na kausafiri ni kutekenya.

NINATAKA NIACHE UMALAYA, KWA HII HALI NILIYONAYO MWENYEWE NAJIONEA HURUMA KWA KWELI. NAJIHISI KAMA SIO MIMI VILE
Kumbe unajionea huruma na hutaki kuacha, we endelea.
 
unaposema unajihisi sio wewe, uko sawa kabisa. it's not you! ni roho nyingine inakushawishi yote hayo unayopitia!

nakushauri ukaombewe. nenda kwa mtu unaeamini anaombea watu na wanafanikiwa.

sijajua uko wapi. kama upo dar, nenda kwa mchungaji MWAMPOSA, ukaombewe.

piaa kama kuna wazee wa zamani wa ukoo wako, waeleze poa. waliokutangulia kuzaliwa, wanayajua mengi!

ipo siku utanishukuru, kwa ushauri huu!
 
Back
Top Bottom