Najiona mjinga sana

Najiona mjinga sana

Bi dentamol

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,038
Reaction score
2,189
Najiona mjinga sana tena nisiyefaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hivi nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikuwa anaoneka mtu anayejiheshimu na mpole kumbe upole umeficha mengi

Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kaniapproach tumekuwa katika uhusiano wa mwezi mmoja tu na umevunjika...Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu

Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hivi due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mimi ni mjinga sana...

Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku
 
Kweli we ni mjinga... sasa baada ya kugundua ana wanawake wengi s ndio ilkua chance ya kumpa vitu kumfanya awe wako pekee? Au unafkr anaanza tu kua wako hiv hiv, watu wenyewe mko wengi hadi wengine mnashnda sokon na bango kua mnatafuta mme, tumia akili kua mvumbuz na umfanye awe wako tu milele....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli we ni mjinga... sasa baada ya kugundua ana wanawake wengi s ndio ilkua chance ya kumpa vitu kumfanya awe wako pekee? Au unafkr anaanza tu kua wako hiv hiv, watu wenyewe mko wengi hadi wengine mnashnda sokon na bango kua mnatafuta mme, tumia akili kua mvumbuz na umfanye awe wako tu milele....

Sent using Jamii Forums mobile app
Et eee BT muongo muongo sana
 
Najiona mjinga sana tena nisi efaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hv nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikua anaoneka mtu anaejiheshim na mpole kumbe upole umeficha mengi
Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kani approach tumekua ktika uhusiano wa mwez mmoja tu na umevunjika...
Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu
Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hv due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mi ni mjinga sana...

Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku
Umeteleza hujaanguka! Usijidharau shukuru Mungu kama bado uko salama na hujaambukizwa STDs na kama hukuachwa WAWILI
Kuteleza si kuanguka! Umeongeza uzoefu.. WEWE NI SHUJAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Potezea usije ukakondeana bure? Wengine wamekumbwa na makuu zaidi yako....mtu hadi zero/jicho/0652/e.t.c katoa lakini anaachwa vizuri tu ndo sembuse wewe???
 
Najiona mjinga sana tena nisi efaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hv nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikua anaoneka mtu anaejiheshim na mpole kumbe upole umeficha mengi
Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kani approach tumekua ktika uhusiano wa mwez mmoja tu na umevunjika...
Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu
Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hv due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mi ni mjinga sana...

Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku
keep-calm-i-agree-with-you-we-are-both-wrong.jpg
 
Back
Top Bottom