General Galadudu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,837
- 2,119
- Thread starter
- #81
Huyu sio General tena bora tuanze kumuita Prof Galadudu wa visa na mikasa.....
Kuna mdau m1 aliwahi kunifuata PM akitaka eti na yeye nimfundishe kuandika visa.......narudia kusema jamani haya ni matukio halisi ninayokumbana nayo japo kwa wengi inakuwa vigumu sana kuamini