Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 175,966
- 194,040
Wajitahidi kutafuta mtoto au watoto...
Wajitahidi kutafuta mtoto au watoto...
Ninyi mnao wangapi?
Wajitahidi kutafuta mtoto au watoto...
Mapacha
[emoji121]Tafuta biashara jioni ukirudi unakwenda kwenye biashara
[emoji121]Try travelling; The experience can be very eye opening. Mchukue mrs muende mapumzikoni. Miji ama mahali ambapo hamjawahi tembelea. Z'bar, mbugani, Nairobi etc. Ili muenjoy make sure una save hela ya kuweza kulala hotelini and the like. Otherwise, kufikia kwa watu ama kwa ndugu tends to be limit the fun
Nalo neno hilo!maana ushauri mwingine bhana mtu ameoa anatafta vp mtoto labda!!si hajapata tu.Ninyi mnao wangapi?
na wewe ni introvert??Me too. Guilty as charged. Sipendi watu kabisa japo nina marafiki wachache wa kweli. Kinachonisaidia ni kusoma mavitabu na kuwa karibu na Mungu. Kwa mwezi naweza kusoma mavitabu hata 10; na hili limenisaidia sana kuwa mwenye tafakari. Na nina kijiwe changu cha tangawizi na wazee hapa mtaani basi kila jioni huwezi kunikosa hapo. Kujichanganya na watu inasaidia sana na ni lazima uwe na marafiki wa ukweli kabisa kabisa vinginevyo mtu unaweza kujikuta unaingia katika depression kali ukaishia kuishi kwa huzuni na hata kujidhuru na kudhuru wengine.