Jambo la aibu lililonitokea usiku wa jana wakati nafanya tendo la ndoa na mke wangu

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,409
20,764
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42 na mkaazi wa jijini Dar Es Salaam.

Mimi nimeoa na nimejaaliwa kupata watoto watatu, watoto wawili mimezaa na wanawake wawili tofauti na huyu mtoto wa tatu nimezaa na mwanamke ambae nimefunga nae ndoa na ndo ninae ishi nae.

Tatizo langu kubwa ni ukosefu wa nguvu za kiume ambalo nimekuwa nalo kwa muda mrefu sasa. Chanzo cha tatizo langu nadhani ni kujichua kwa muda mrefu kwani nilianza kujichua mwaka 1992 wakati huo nikiwa na umri wa miaka 17 na tangu nianze kujichua mwaka huo wa 92 sijawahi kuacha kujichua hadi leo hii.

Mchezo huu wa kujichua umenisababishia madhara makubwa sana ; kwanza maumbile yangu ya kiume yamelegea, yamesinyaa na kunywea ndani na ninapokuwa nimesimama basi yanakuwa yamelegea kweli kweli.

Pili nisipotumia madawa ya kizungu huwa nafika kileleni ndani ya muda mfupi sana, nikizidi sana ni dakika moja .

Tatu nakuwa sina uwezo wa kurudia tendo . Nikishamaliza ndio imetoka hiyo mpaka kesho yake.

Katika kukabiliana na tatizo langu hili nimekuwa nikitumia madawa ya kizungu na kusema ukweli yameniathiri kwa kiwango kikubwa sana kiasi cha kunifanya niwe tegemezi, yaani bila hayo madawa ya kizungu siwezi kabisa kufanya tendo la ndoa.

TUKIO LILILO TOKEA USIKU WA JANA

Sababu ya kuandika barua pepe hii ni kukuelezea jambo la aibu lililonitokea usiku wa jana wakati nikifanya tendo la ndoa na mke wangu.

Tukio lililo nitokea jana si mara ya kwanza kunitokea lakini kwa mke wangu huyu ndio limenitokea kwa mara ya kwanza but kwa wanawake wengine ambao nimewahi kutembea nao, limeshanitokea mara nyingi tu kiasi siwezi kuhesabu.

Halijawahi kutokea kwa mke wangu kwa sababu kwa muda wa miaka mitatu ambayo nimekuwa na mwanamke huyu nimekuwa makini sana wakati wa kufanya “ maandalizi “ kabla ya kushiriki tendo la ndoa na mke wangu. Nimekuwa nikihakikisha nnatumia dawa za kizungu za kuongeza nguvu kabla ya kukutana kimwili na mke wangu huyu. Ingawa uume wangu unakuwa umesimama ukiwa lege lege lakini at least sijawahi kushindwa kabisa kushiriki na mke wangu.

Nilikuwa nimeenda safari mkoani ambako nilikaa kwa muda wa wiki moja na usiku wa jana ndio nikawa nimerudi safari.

Kwa bahati mbaya sana nikawa nimesahau kubeba dawa zangu za nguvu za kiume na kwa bahati mbaya zaidi nakuja kukumbuka tayari nimeshafika home na ilikuwa usiku tayari.

Wakati tunafanya tendo la ndoa nilijikongoja nikafanikiwa kumaliza round ya kwanza japo nilitumia muda mfupi sana nadhani kama dakika moja hivi.

KIMBEMBE KILIANZA KWENYE KUTAFUTA ROUND YA PILI

Baada ya kumaliza round ya kwanza nilipata maumivu makali sana kwenye mishipa yangu ya uume na sikuwa na hamu kabisa ya kurudia round ya pili . Hata hivyo nilifanikiwa kujikongoja kongoja hivyo, baada ya kama masaa mawili hivi jogoo akafanikiwa kupanda mtungi tena. Na hii ilikuja baada ya kutomasa sana na kuvuta hisia sana na wakati nafanya yote hayo nafanya bila wife kushtukia kwamba ninajitomasa ili jogoo apande mtungi. Huwa natakaga wife awe anajua jogoo wangu anapanda mtungi bila kuchezewa. So nilikuwa nampigisha story wife huku tunatazama kipindi kwenye tv and at the same time nikawa najitomasa.

Sasa basi baada ya kuridhisha kuwa jogoo amepanda mtungi nikaanza sasa maandalizi ya ku-do wife, ila ile najaribu tu ku anza ku-do , jogoo akawa amenywea tena, na jogoo alinywea kwa sababu nilipo mwambia wife tuanze ku-do tena, wife akasema anaenda maliwatoni kwanza, kitendo cha wife kwenda maliwatoni tu jogoo wangu akanywea tena. Nikasema ngoja nijaribu kujichezea tena fasta fasta kwa muda ule ambao wife atakuwa ameenda chooni ili atakapo rudi akute jogoo yupo vizuri, lakini wapi wakati najaribu kuanza kujitomasa tena, wife akawa amesha rejea tena, so ikabidi namimi nizuge nimebanwa na haja kubwa na kumwambia wife naenda toilet mara moja.

Kufika toilet nikaanza kutomasa jogoo wangu mithili ya mtu anae taka kupiga punyeto, lakini wapi. Jogoo akawa anasimama kidogo ananywea, anasimama kidogo ananywea, nikaona hapa mwishowe wife atanistukia au kuhihisi vibaya coz zilikuwa zinakaribia zaidi ya dakika tano hivi kwa kukadiria.

So nikaamua kurudi tu chumbani . Kufika chumbani nikamkuta wife amekaa kitandani. Bahati nzuri nikiwa nafika, movie moja ya kibongo ikawa ndo inaanza kuonyeshwa kwenye kituo kimoja cha movie za kibongo na inaonekana alikuwa anaisubiri kwa hamu. So akawa kama attention yake ameihamishia kwenye movie na hiyo ndo ikawa pona pona yangu kwa muda huo.

So na mimi nikazuga kuvutiwa na ile movie , attention yetu sote tukawa tumeihamishia kwenye movie.

Nashukuru Mungu ile movie ilionekana kuwa so interested kwake yeye. Nilipo ona yupo so interested nikazuga kumwambia “ Ngoja nikuache umalize kwanza hiyo movie ndo tuendelee” kumbe moyoni mwangu nasema “ Asante Mungu kwa kunifichia hii aibu “.

So muda huo tulio kuwa tunautumia kutazama movie nikasema niutumie kutomasa jogoo hadi asimame.

Baada ya kama nusu saa hivi, bahati nzuri jogoo akawa amewika, nikamwambia wife nataka kwenda kulala, tumalizie game haraka haraka. Bahati nzuri nikafanikiwa kucheza game na kumaliza japo nilitumia muda mfupi sana lakini ni heri nusu shari kuliko shari kamili. Ni heri nionekane nawahi kufika kileleni mapema kuliko nionekane sina uwezo wa kupandisha jogoo kabisa .

Nimeamka asubuhi nimetengeza safari ya kijijini Kisarawe ambako nitakaa kwa muda wa mwezi mmoja.

Ninataka katika kipindi chote hicho cha mwezi mmoja niutumie kutibu tatizo nililo nalo na kupona kabisa ili nitakapo rudi kwa mke wangu niwe na confidence ya kushiriki nae tendo la ndoa.

Pia naogopa aibu iliyo taka kunitokea usiku wa jana isije kunitokea tena kwa sababu jambo hilo liliniogopesha sana na sitaki mke wangu anione mimi ni mwanaume wa hivyo ingawa sijui ananichukuliaje mpaka sasa.

Idadi kubwa ya wanaume walio katika ndoa ambao wanakabiliwa na tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume, wanashindwa kupata tiba ya tatizo linalo wakabili kwa sababu ya kutokuwashirikisha wake zao.

Wanaume wanao washirikisha wake zao hupata nafuu ya haraka sana kwa sababu mke nae anakuwa anajua tatizo linalo msumbua mume wake na anaweza kushiriki katika kumuandalia lishe maalumu kwa wanaume wenye shida ya ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.

Chanzo: Mpekuzi
 
1f68266530dfaab8f7a21e720a88eb1e.jpg
 
Hiki chama kinakunatana na upinzani mkali sana kipindi hiki, kila shuhuda ni za kukiponda.

Nadhani watajipanga upya na kuja na shuhuda za ushindi.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom