Hapo kwenye red,at 30? mwanamke wa kibongo? Pointers,hivi unajua wasichana wanaodai hivi sasa mjini ni wale waliozaliwa 1990 na kuendelea? kama una wadogo zako wa kiume/wanao wa kiume angalia wanatoka na mabinti waliozaliwa miaka ipi.
acheni kumpa moyo kwamba umri wake bado. kwa sahvi huyo kachoka mbaya na ukikutana naye lazima atakuwa bi kizee anaelekea.ukichanganya na jamaa ambao keshawapa uroda ndo watakuwa wanamchosha zaidi.hao wanaokwambia mda bado wanakudanganya wewe endelea kuchapwa tu umri wa kuolewa ushapitiriza. age za kuolewa kwa mwanamke sahvi ni 20 mpaka 28..mwishowe wa kukuoa atakuta mihuri ya kutosha.
Hi, as usual you amaze me can i be a fan ?Kaka Mpendwa:
Cmon, she is independent, got her own i.e crib, ride, family oriented, has got sense of humor and to top it a bedroom prowess! If you ask me Id say what else could a guy want? So Yes, its admirable, at least to me.
Bishanga:
Sasa kama watu wa 80s unasema wamepitwa na wakati, kwa hiyo sisi tuliozaliwa 70's ndio kusema_____________________??
LOVEBYTE .......
I like your CV
Naomba niwe honest kwako Nemo,kama umezaliwa miaka ya sabini maana yake unaelekea kwenye 40's.Kwa mila za zamani za kiafrika ambapo binti alikuwa anaolewa baada ya kuchezwa ngoma(at 15) ina maana at 35 mwanamke alikuwa na mjukuu tayari.That says it all Nemo!
Dont let them pull you down there is still your prince out there waiting to sweep you of your feet saying 'where have you been hiding sweety'.Ouch!................................anyways thanks for being honest Bishanga, at least I now know why huwaga sipewagi salamu! Oh well so much for hoping!??
Dont let them pull you down there is still your prince out there waiting to sweep you of your feet saying 'where have you been hiding sweety'.
We maisha yameshakushinda na umechanganyikiwa kitambo!!at the age of 30 bado unajiachia hivyo basi hesabu imekula kwako na ndio maana huolewi sababu unaonekana ni mzee na may be changudoa!sorry kwa comments zangu butHi, mie ni msichana wa miaka 30, I have my very on lifestyle which me mwenyewe sijielewi. I am working n managed to rent a house and buy a car some years ago.
I live in Dar with a house girl n security guards only. I have such a free life that I can even hang out with friends for some days outside Dar. Sina boyfriend, but have hooked n dating some cute guys out there.
I have a dream of getting marriage somedays ahead but I dont see anyone among my close dudes as ideal though aint desperate. I party out a lot sana n I work a lot too.
Have dated Wazungus, Asians n more of Tzans. I enjoy sex sana n I cant wait to strip naked b4 my crazy lovers, lol. I dont understand myself kwa sababu cjui lini maisha haya yataisha na wala sielekei kuyachoka au kuyakubali .
Ki ukweli naishi kama hivi am a Christian n i also pray to God to fix wats i LACK IN MY LIFE OR CHANGE THE WAY I ARE. Sijielewi nataka au sitaki nini kwenye lifestyle of mine regardless of my age.
I CARE 4 my family n friends as well. I am very easy person to get along with n I am such a lady who jokes a lot n down to earth.
Hebu nisaidieni wana JF hivi kuna mtu mwingne yupo kama mimi au me ndo maisha yashanshinda? Na je what can i do?
Samahanini kwa kuchanganya lugha.
We maisha yameshakushinda na umechanganyikiwa kitambo!!at the age of 30 bado unajiachia hivyo basi hesabu imekula kwako na ndio maana huolewi sababu unaonekana ni mzee na may be changudoa!sorry kwa comments zangu but
najaribu kukueleza ukweli maana inaonekana hufai kwani unapenda starehe na kuji show up!!pole yk!!
Mkuu, naona neno zuri la kutumia hapo ni "UASHERATI" kan hayupo ktk ndoa, huyu ni mwasherati tena mwandamizi, nashauri abadilike ingawa yeye anatafuta kundi la anaofanana nao kama wapo, sijui anataka wanzishe nini?Naomba ufafanuzi wana JF
Mtu akisema ana-enjoy SEX na amesha-date alot of pipo, ni kwamba ana sifa UZINZI au ndio normal life?
Ouch!................................anyways thanks for being honest Bishanga, at least I now know why huwaga sipewagi salamu! Oh well so much for hoping!??
Dont let them pull you down there is still your prince out there waiting to sweep you of your feet saying 'where have you been hiding sweety'.