Najaribiwa jamani

TAFUNA WOTE KILA MMOJA KWA SIKU YAKE!! :drama:
 
Mh huyo wakwanza balaa lake ushaliona! Wapotezee wote endelea na uliyenaye kabla hujahamia hapo au ndo umebadilisha mazingira na demu unabadilisha????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!'!!!!!!
 
Mh huyo wakwanza balaa lake ushaliona! Wapotezee wote endelea na uliyenaye kabla hujahamia hapo au ndo umebadilisha mazingira na demu unabadilisha????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!'!!!!!!

Mkuu niliyekua naye kabla walinipora wakaoa now nilipohamia hapa nilikua na project in progress ila inanata sanaaa na mpaka nimejitoa kwenye race
 
Aah LWENYI katika ubora wake!!! Kazi kwako!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu niliyekua naye kabla walinipora wakaoa now nilipohamia hapa nilikua na project in progress ila inanata sanaaa na mpaka nimejitoa kwenye race

Ahaaa kumbe!! Sasa niwambie kitu ACHANA NA WOTE HAO tafuta mwingine ambae hamko Karibu ( one house)
 
tafuta project ya mbali na hapo mkuu hao potezea mazima wasikugande kidwanzi au useme kama unataka uwaonje wote
 


Hi Lwenyi, hope all is well..
Kwanza kabisa the way you presented this issue of yours shows that there is some sense in your head. Its shows maturity in you. Inaonekana you have your life pulled together na upo vizuri. Kwanza kabisa DONT let these three girls ruin you. Cause what you are upto is destruction. I think hata usingemgegeda huo mmoja wao in the first place lakini kibinadamu kuna kuteleza.

Mi naona kama vile hawa wadada sio hadhi yako.kwasababu unastahili kua na mtu anaejielewa kama wewe.mdada anaejielewa hawezi kumtamani mwanaume ambae ametembea na rafiki yake. Yani hii imeonyesha kua wana tabia mbaya.
Achana nao wote watatu NOW before its too late. hata ukisema unampenda huyo mmoja ambae umeshamgegeda as you say it hamtakua na a peaceful relationship cause kuna third parties involved.
Dont ruin your reputation kwa vitu vya mda mfupi bwana inaonekana your way better than that. at times sisi wanawake tunaweza tukawa waaribifu sana so kua makini sana.kila mwanamke anataka that perfect guy in whatever way possibe so kua makini sana.

Pole kwa gazeti ila nimejitahidi kufupisha. Have a good productive day pal
 
Hama nyumba haraka, ikiwezekana hama na mtaa kabisa, ukiendelea kuishi nao hapo wanaweza kuzua timbwili la mwaka. Mkuu tena hama kimya kimya. Na kwanza hao wadada wanafanya shughili gani ama ni watu wa kona bar? Chukua tahadhari sana na achana nao wote
 
wapige tigo hao mademu wote....then watakupenda zaidi na kukuheshimu
 
Mkuu hii nyumba ni karibu na kwenye shughuli zangu na isitoshe terms zake ziko favourable sana kwangu

Mambo mengine bwana yani wanawake watatu wanakaa nyumba moja wanakupenda umeisha mgegeda mmoja wengine nao wanataka wewe kama mwanaume umeshindwa kusolve hilo tu,unaomba ushauri ufanyeje?wamekubaka?mwisho wa siku ukiwa na familia kila jambo utakuwa unaomba ushauri humu au?be a man.labda una lingine maana sioni unapopata ugumu ni wapi.
 

Asante sana mkuu kwa maneno yako ya busara sana nashukuru ushauri huu nimeanza kuufanyia kazi taratibu na najiandaa kufanya maamuzi magumu kwa faida yangu na yao pia
 
tafuta project ya mbali na hapo mkuu hao potezea mazima wasikugande kidwanzi au useme kama unataka uwaonje wote

Shukran kwa ushauri hui mkuu
 

Mkuu hakuna aliye mkamilifu kuna wakati akili inafika kikomo kufikiri kiasi hata moja kujumlisha moja unaweza sema ni kumi mtu anapoomba ushauri anaweza kuwa na jibu lake na anataka apate uzoefu wa watu wengine waliowahi kupitia hayo na walivoweza kuyatatua kiungwana kwahiyo sidhani kama ni dhambi mkuu wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…