Lwenyi mbona unajishusha thamani kiasi hiki. Unaona kabisa tanzi linakuja na ndani ya tanzi kuna mtego, wewe ni kijana hb, decent mwenye nguvu , afya njema , akili na utashi unaendekeza ngono zembe kama mbwa kaona chatu, kwa nini?
Nilikuwa na mwalimu wangu mmoja alikuwa anawaambia wanafunzi wakijibu vibaya, are you using scrotum to think? Lwenyi you must be strong kushinda tamaa za mwili ukiziendekeza utakwenda na maji.
Unauwezo wa kufanya kazi zako vizuri kwa utaratibu makini na kujiandaa vema kisha kupata binti safi kabisa utengeneze familia. Hayo tanzi achana nao kabisa. Jitathmini upya ujenge maisha yako.