witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Sasa ndo nikwambie huyo bwana ako na huyo demu wanatakana so simple logic!Ndugu mi nadhan watu hawajaelewa vizuri ukiangalia distance ya mchumba wa kwanza mpaka was pili mpaka kuleta posa nimiaka 5... Je ilitakiwa nikae mda gani???
Pili huyu jamaa Mimi nilikataa mpaka nikamwambia aanze yeye kunipeleka kwao kanipeleka DEC 24 kwa wazazi wake wote na alitaka kuja Jan kwetu nikawa namuomba muda zaidi mpaka akaniambia kama sijaridhika nae nimpe jibu moja maana anaona kama namzungusha feb 19 akamuita baba ake mdogo ndio wakaenda nyumbani.... Mimi sijui nilipoharibu labda sina bahati na wanaume tu
Huyu hakua na tabia mbaya zaidi ya ubahili wa pesa ambapo sikuona shida sana maana na Mimi ninazangu
Tatizo limetokea kwa huyu bint ndio kawa kikwazo msg zao nasoma niza kirafiki shida ni kwamba wapo busy kuchart asubuh ,mchana na jion ,,,, na kupigiana cm Mara kwa Mara picha inaonyesha mmoja wao ana interest nimemkataza jamaa mawasiliano na huyo bint anadai MTU wanafanya kazi ofc moja ningum kuacha kuwasiliana nae shida ipo hapo
Hebu kaa pembeni kwanza, uangalie mchezo unavyokwenda, kwa sasa utapagawa asee