Naitaji watu wenye uelewa mpana na busara wanishauri juu ya huyu mchumba wangu

Chagua moja, bora uwafurahishe watu uishi maisha ya machungu na majuto au ufanye maamuzi yatakayokupa furaha na amani kwenye maisha yako?
Kumbuka tunaongelea mtu utakaeishi nae maisha yako yote yaliyobaki hapa duniani, usiogope aibu ya watu ukang'ang'ania au kulazimisha ndoa, bora mambo yashindikane kwenye hatua ya mahari lakini sio ndoa kuvunjika.
 
Umepitia mangapi ana

Mbona haya mambo ya kawaida tu

Hili nalo litapita kama lile la kwanza

Leave your life mlee mwanao icho ndo muhimu kwako kwa sasa hakuna lingine
 
Shida ni mzee tunamwambiaje kwa hili??
Kwani lazima u mwambie? Wewe mwambie baba kwasasa nataka nifanye mambo yangu na nataka nichunguze maisha yake kwanza yashije kuwa kama ya yule mzazi mwenzangu, shost una maisha yako na mtoto unaye kwanini ujipe pressure zisizokuwa na maana anayekupenda wala hanaga shida wala kona kona nyingi kila kitu huja direct, inaonekana unapenda sana ndoa sasa hao watu unao waonea aibu sijui majirani walikula sana wakati wa mahari wanakusidia nini, wakati shida unapata wewe wanawake wengine sijui mpoje, usipo jijari mwenyewe nani akusamini? Sio kila anayekuja mme wengine vipanga hata mbwamwitu huweza kuvaa ngozi ya kondoo, tumia akili chuo ulienda kufanya nini ishi maisha amani bibie!
 
Ukivunja mahusianao jaribu kutulia na kujiuliza kwanini yamevunjika? Sio leo umeachana na mtu kesho anakuja mwingine bila hata kuchunguza eti kajitambulishe kwa wazazi kuchumbia si kuoa tuliza kichwa nahii haiwezi kuoza mpe mtu sahihi sio kila anayetangaza ndoa ni muoaji wengine vifimbo cheza
 
Juz nilileta Uzi wangu wa nimelikoroga ...nimeamua nifanye maamuzi magum kuna vitu kadhaa najiuliza sana
Naomba nitoe historian yangu fupi ili kidogo mjue tunaanzia wapi kulimaliza hili
Naomben watu kidogo wenye uelewa mpana na hapa naeleza ukweli wa maisha yangu acha hizo story/ nyuzi za nyuma zenye ujana ujana mwingi
Nimezaliwa 1987...
Elim yangu chuo
Nimejiajir kazi yangu inawejiweza kwa kiac kunipa mkate wa kila Sikh
Nov 2013 nilipata mchumba tulikutana kanisan akawa amenipenda na kuja kwa kasi ya ajabu maana tulionana Nov 26 lkn DEC 15 alinipeleka kwao akanivisha Pete mbele ya kanisa na January akaja nyumban kwetu kujitambulisha baaada ya WK wazazi wake wakaja kupatana mahar na kutoa siku hiyohiyo
wote tulishangaaa kasi ya jamaa lkn madai yake ni kanipenda ataki kunipoteza
Mimi nilikua naishi arusha nyumban mwanza basi baada ya mahar kabla ya kurudi kwangu nikawa nimeenda kwake ili kupajua nikawa nimepata ujauzito
Kumbe jamaa presha hizo alikua amezinguana na x wake ni mwl hapo hapo alipokua anafanyia kazi sasa akafanya kumkomoa kumbe x nae wameachana alikua tayar ana mimba so tulipishana miez 2 Mimi na xwake....
kufunga ndoa ikashindikana wazazi wake walikua watu wa dini ikabidi wasubirie nijifungue
Huku jamaa alipogundua X wake nimjamzito na walikua kijiji kimoja mapenz yakarudi upya kule
Du niliteseka sana maana alinifanyia visa vya kila rangi... Mimba ilinitesa ikabidi nije nyumban nikae nilipata mawazo hum nilifungua thread 1000 za ID tofauti ili kuomba ushauri...namshukuru mama angu alikua bega kwa bega kunifariji maana nilifikia hatua mbaya..sasa kukwepa aibu ya watu maana kwenye mahari walikula na kusherekea ikabidi tuwadanganye kua jamaa kapata matatizo kafungwa
Mpaka baba angu uwa sikai nae nimkali sana bamuogopa kama chui nae tukamdanganya hivyo mpaka leo anajua yule mchumba kafungwa
Baada ya yote nikarudi chuo nikawa na maisha yangu ya kujitegemea

Jan 2017 niakutana na huyu wa sasa tumeanzia urafiki mpana jun tukawa wapenz DEC akanipeleka kijijin kwao kunitambulisha kwao wakajua tumeshaoana maana hata kulala ilikua chumba kimoja
Feb akaja kujitambulisha kwetu baba angu akaitwa kwanza alikua amekataa kupokea posa akamwambia mama private je kamchunguza kwanza??? maana tunapisha miaka 2 tu na jamaa alafu mi namtoto jamaa hana
baba akasema je mmewe akitoka gerezan itakuaje??? Maana alimtolea mahari OK tukayabumba mzee kishingo upande akakubali posa akatushauri tuishi kwa Aman na upendo sababu wote watu wazima
Kasheshe imetokea ya kuwasiliana na huyo Dada
Jana huyo Dada kanitukana sana ananiambia Mimi kuolewa na jamaa nisali sana au niroge sana
Usiku nimeongea na jamaa nimemwambia sitaki mawasiliano na huyo Dada jamaa kanijibu hayo maisha nayimpangia nimagum mno hawez kosana na rafiki yake wametoka mbali
Watu wenye hekima naomben mnishauri nifanye nn? Baba namwambia nn? majiran kwa mwaka mwingine tena hii aibu naimalizaje??? Nimechanganyikiwa nataman nizime cm nipoteee kabisa Ila namuwaza mtoto wangu ataishi VP nakosa maamuz
Naomba nikuukize swali kabla sijakushauri ukinijibu nitakusadia na naamini utapata pakutokea.
1.Unaona unamuongelea baba kama mtu ambaye haishi na mama ni kweli?wametengana au nini kilitokea

2.
 
Dada Anna mi ushauri wangu kwako ni mwepesi sana
Hebu punguza pressure ya ndoa, acha kufikiria watu watakuonaje
Sasa hivi fikiria mwanao utamleaje na pia jenga mazingira ya kukufanya uwe na furaha kupitia ndani yako mwenyewe, usiweke mazingira ya kupata furaha kupitia kwa mtu mwingine.
 
Juz nilileta Uzi wangu wa nimelikoroga ...nimeamua nifanye maamuzi magum kuna vitu kadhaa najiuliza sana
Naomba nitoe historian yangu fupi ili kidogo mjue tunaanzia wapi kulimaliza hili
Naomben watu kidogo wenye uelewa mpana na hapa naeleza ukweli wa maisha yangu acha hizo story/ nyuzi za nyuma zenye ujana ujana mwingi
Nimezaliwa 1987...
Elim yangu chuo
Nimejiajir kazi yangu inawejiweza kwa kiac kunipa mkate wa kila Sikh
Nov 2013 nilipata mchumba tulikutana kanisan akawa amenipenda na kuja kwa kasi ya ajabu maana tulionana Nov 26 lkn DEC 15 alinipeleka kwao akanivisha Pete mbele ya kanisa na January akaja nyumban kwetu kujitambulisha baaada ya WK wazazi wake wakaja kupatana mahar na kutoa siku hiyohiyo
wote tulishangaaa kasi ya jamaa lkn madai yake ni kanipenda ataki kunipoteza
Mimi nilikua naishi arusha nyumban mwanza basi baada ya mahar kabla ya kurudi kwangu nikawa nimeenda kwake ili kupajua nikawa nimepata ujauzito
Kumbe jamaa presha hizo alikua amezinguana na x wake ni mwl hapo hapo alipokua anafanyia kazi sasa akafanya kumkomoa kumbe x nae wameachana alikua tayar ana mimba so tulipishana miez 2 Mimi na xwake....
kufunga ndoa ikashindikana wazazi wake walikua watu wa dini ikabidi wasubirie nijifungue
Huku jamaa alipogundua X wake nimjamzito na walikua kijiji kimoja mapenz yakarudi upya kule
Du niliteseka sana maana alinifanyia visa vya kila rangi... Mimba ilinitesa ikabidi nije nyumban nikae nilipata mawazo hum nilifungua thread 1000 za ID tofauti ili kuomba ushauri...namshukuru mama angu alikua bega kwa bega kunifariji maana nilifikia hatua mbaya..sasa kukwepa aibu ya watu maana kwenye mahari walikula na kusherekea ikabidi tuwadanganye kua jamaa kapata matatizo kafungwa
Mpaka baba angu uwa sikai nae nimkali sana bamuogopa kama chui nae tukamdanganya hivyo mpaka leo anajua yule mchumba kafungwa
Baada ya yote nikarudi chuo nikawa na maisha yangu ya kujitegemea

Jan 2017 niakutana na huyu wa sasa tumeanzia urafiki mpana jun tukawa wapenz DEC akanipeleka kijijin kwao kunitambulisha kwao wakajua tumeshaoana maana hata kulala ilikua chumba kimoja
Feb akaja kujitambulisha kwetu baba angu akaitwa kwanza alikua amekataa kupokea posa akamwambia mama private je kamchunguza kwanza??? maana tunapisha miaka 2 tu na jamaa alafu mi namtoto jamaa hana
baba akasema je mmewe akitoka gerezan itakuaje??? Maana alimtolea mahari OK tukayabumba mzee kishingo upande akakubali posa akatushauri tuishi kwa Aman na upendo sababu wote watu wazima
Kasheshe imetokea ya kuwasiliana na huyo Dada
Jana huyo Dada kanitukana sana ananiambia Mimi kuolewa na jamaa nisali sana au niroge sana
Usiku nimeongea na jamaa nimemwambia sitaki mawasiliano na huyo Dada jamaa kanijibu hayo maisha nayimpangia nimagum mno hawez kosana na rafiki yake wametoka mbali
Watu wenye hekima naomben mnishauri nifanye nn? Baba namwambia nn? majiran kwa mwaka mwingine tena hii aibu naimalizaje??? Nimechanganyikiwa nataman nizime cm nipoteee kabisa Ila namuwaza mtoto wangu ataishi VP nakosa maamuz


Wewe na wazazi wako muache kwanza usanii, muwe straight na msipike uongo, achana na hayo yote hayo, concentrate kwenye maisha yako na mwanao
 
Juz nilileta Uzi wangu wa nimelikoroga ...nimeamua nifanye maamuzi magum kuna vitu kadhaa najiuliza sana
Naomba nitoe historian yangu fupi ili kidogo mjue tunaanzia wapi kulimaliza hili
Naomben watu kidogo wenye uelewa mpana na hapa naeleza ukweli wa maisha yangu acha hizo story/ nyuzi za nyuma zenye ujana ujana mwingi
Nimezaliwa 1987...
Elim yangu chuo
Nimejiajir kazi yangu inawejiweza kwa kiac kunipa mkate wa kila Sikh
Nov 2013 nilipata mchumba tulikutana kanisan akawa amenipenda na kuja kwa kasi ya ajabu maana tulionana Nov 26 lkn DEC 15 alinipeleka kwao akanivisha Pete mbele ya kanisa na January akaja nyumban kwetu kujitambulisha baaada ya WK wazazi wake wakaja kupatana mahar na kutoa siku hiyohiyo
wote tulishangaaa kasi ya jamaa lkn madai yake ni kanipenda ataki kunipoteza
Mimi nilikua naishi arusha nyumban mwanza basi baada ya mahar kabla ya kurudi kwangu nikawa nimeenda kwake ili kupajua nikawa nimepata ujauzito
Kumbe jamaa presha hizo alikua amezinguana na x wake ni mwl hapo hapo alipokua anafanyia kazi sasa akafanya kumkomoa kumbe x nae wameachana alikua tayar ana mimba so tulipishana miez 2 Mimi na xwake....
kufunga ndoa ikashindikana wazazi wake walikua watu wa dini ikabidi wasubirie nijifungue
Huku jamaa alipogundua X wake nimjamzito na walikua kijiji kimoja mapenz yakarudi upya kule
Du niliteseka sana maana alinifanyia visa vya kila rangi... Mimba ilinitesa ikabidi nije nyumban nikae nilipata mawazo hum nilifungua thread 1000 za ID tofauti ili kuomba ushauri...namshukuru mama angu alikua bega kwa bega kunifariji maana nilifikia hatua mbaya..sasa kukwepa aibu ya watu maana kwenye mahari walikula na kusherekea ikabidi tuwadanganye kua jamaa kapata matatizo kafungwa
Mpaka baba angu uwa sikai nae nimkali sana bamuogopa kama chui nae tukamdanganya hivyo mpaka leo anajua yule mchumba kafungwa
Baada ya yote nikarudi chuo nikawa na maisha yangu ya kujitegemea

Jan 2017 niakutana na huyu wa sasa tumeanzia urafiki mpana jun tukawa wapenz DEC akanipeleka kijijin kwao kunitambulisha kwao wakajua tumeshaoana maana hata kulala ilikua chumba kimoja
Feb akaja kujitambulisha kwetu baba angu akaitwa kwanza alikua amekataa kupokea posa akamwambia mama private je kamchunguza kwanza??? maana tunapisha miaka 2 tu na jamaa alafu mi namtoto jamaa hana
baba akasema je mmewe akitoka gerezan itakuaje??? Maana alimtolea mahari OK tukayabumba mzee kishingo upande akakubali posa akatushauri tuishi kwa Aman na upendo sababu wote watu wazima
Kasheshe imetokea ya kuwasiliana na huyo Dada
Jana huyo Dada kanitukana sana ananiambia Mimi kuolewa na jamaa nisali sana au niroge sana
Usiku nimeongea na jamaa nimemwambia sitaki mawasiliano na huyo Dada jamaa kanijibu hayo maisha nayimpangia nimagum mno hawez kosana na rafiki yake wametoka mbali
Watu wenye hekima naomben mnishauri nifanye nn? Baba namwambia nn? majiran kwa mwaka mwingine tena hii aibu naimalizaje??? Nimechanganyikiwa nataman nizime cm nipoteee kabisa Ila namuwaza mtoto wangu ataishi VP nakosa maamuz
Kikubwa ni uvumilivu umekutana na huyu akiwa mkubwa na miaka mingi tu na anatabia zake ambazo kazizoea kwa miaka hyo yote uliyomkuta nayo kwaiyo itakugharimu miaka mingne kama hyo uliyomkutanayo ili akae sawa wote mbatoka familia tofauti na katika kila familia kuna mila,desturi na tamaduni ambazo kila mtu kalelewa nazo so vumilia tu yanamwisho hakuna sehemu iliyonyoofu.
 
Sasa kaka wewe unaitaji ushauri au unaitaji watu wenye busara maana ivyo ni vitu viwili tofauti em specify unaitaji kipi kati ya ivyo viwili
Kaka anabeba mimba! Au mleta uzi ndo kajikoroga?
 
Tatizo lako neno 'ndoa' linakustua mno.. Pole, epuka kufanya maamuz ya kukurupuka. Pga chni jamaa, anza upza na uwe busy na maisha ya kiuchumi na kulea mwanao. Ndoa hailazimishwi
 
Focus sana on ur life na maisha ya mtoto wako... Hayo ya nyuma yaliyopita yatopezee kabisa..
Time itafika u wil get the right one for u n always usifanye vitu kwa haraka haraka
 
Mpotezee tu hamna jipya apo utakufa bure kwa presha wakat mwenzio anaenjoy mema ya dunia
 
pole kwa yote kwanza

then it seems like you are so cheap


then unaharaka na maisha

tulia kwanza


tena usiingie kwa mahusiano ukamuonesha live kuwa unataka ndoa ni mbaya sana
 
shule umemaliza???......kapime na afya yako.....then rudi kanisani.....mfuate mwokozi yeye anayaweza yote......wanaume hatuachi vya dezo.......vigumu vinalainishwa....vilaini vinamumunywa....
 
Shosti,natumaini u mzima na uko timilifu nikimaanisha una viungo vyote vimpasavyo MTU kuwa navyo,.piga moyo konde ona kama ulikengeuka tuu kibinadamu,.achana na mapenzi na kuota NDOA,tayari una mtoto PAMBANA kujiongezea kipato ili uishi maisha yako ya Amani na umtunze mwanao,.kingine KAA magotini pa Mungu omba huruma yake pengine kibinadamu ulienda kinyume na ulimkosea Mungu,Fanya toba na umtazame yeye tuu kwani yeye ni wa haki hata hutusamehe madhambi yeti,.tutafute UTAKATIFU kwanza na hayo mengine atatujazi..pole sana.
 
Shosti,natumaini u mzima na uko timilifu nikimaanisha una viungo vyote vimpasavyo MTU kuwa navyo,.piga moyo konde ona kama ulikengeuka tuu kibinadamu,.achana na mapenzi na kuota NDOA,tayari una mtoto PAMBANA kujiongezea kipato ili uishi maisha yako ya Amani na umtunze mwanao,.kingine KAA magotini pa Mungu omba huruma yake pengine kibinadamu ulienda kinyume na ulimkosea Mungu,Fanya toba na umtazame yeye tuu kwani yeye ni wa haki hata hutusamehe madhambi yeti,.tutafute UTAKATIFU kwanza na hayo mengine atatujazi..pole sana.
Mumu dadangu, ninafurahi kuona umepevuka kiakili, hii inatia moyo sana.
Mungu aendelee kukupa hekima uwasaidie ndg zako
 
Pole my dia,najua ni namna gani unajisikia lkn nikuombe utulie kwasasa,ebu weka kando maswala ya mapenzi fanya kazi kwa bidii lea mtoto wako jipendee jithamini kuwa karibu na Mungu wako
Wakati wa Mungu ukifika kila kitu kitanyookaa na haya unayopita itabak story acha kuangalia marafik zako wameolewa sijui umri,sijui baba hapana kila jambo na wkt wake sahihi,,mm niliolewa mdogo kdg marafikzangu hasa walionipita umri walikua wanapata mawazo lkn leo hii wote wameolewa na waliobak soon tutakula ubwabwa wao
Mwisho ukipata mchumba achana na biasharaa za kumpeleka nyumban tulia ujipe nao mda
Tulia Anna utapata presha mwanao aje kupata shida plz kuwa mwanamke jasiri kaza moyo songa mbele
 
Back
Top Bottom