naitaji ufuta wa kutosha tu gunia nyingi .nanunua kwa kilo 2700 ,kama unao nipm tufanye biashara
nipo dar usiwe na shaka hata kama upo mbali tutafanya biashara
nipo dar usiwe na shaka hata kama upo mbali tutafanya biashara
Hebu bi mkubwa njoo siumevuna juzi juzi? miss chagga
Ukiwa shambani watu wanauza kilo 3000
Ikwiriri/ rufiji kilo hadi sh 2100
naitaji ufuta wa kutosha tu gunia nyingi .nanunua kwa kilo 2700 ,kama unao nipm tufanye biashara
Hi ninao mkuu wewe unataka uletewe wap mkuunaitaji ufuta wa kutosha tu gunia nyingi .nanunua kwa kilo 2700 ,kama unao nipm tufanye biashara