Habari za asubuhi wana JF!
Nilimaliza shahada ya kwanza ya Uhandishi wa Umeme mwaka 2013, ninayo wazo na dhamira ya kufungua kampuni ya Electrical Installation kama class seven siyo mbaya.
Naomba mwenye dhamira na wazo kama yangu tushirikiane kuanzisha hiyo kampuni, naomba awe na taaluma ya Umeme.
Kufikiria kumaliza kazi ya watu kwa ufanisi bila kujua umeongeza fedha kiasi gani kinachosha kweli.
Kwa mawasiliano 0764727925 niko G/MBOTO Dar es salaam.
Nilimaliza shahada ya kwanza ya Uhandishi wa Umeme mwaka 2013, ninayo wazo na dhamira ya kufungua kampuni ya Electrical Installation kama class seven siyo mbaya.
Naomba mwenye dhamira na wazo kama yangu tushirikiane kuanzisha hiyo kampuni, naomba awe na taaluma ya Umeme.
Kufikiria kumaliza kazi ya watu kwa ufanisi bila kujua umeongeza fedha kiasi gani kinachosha kweli.
Kwa mawasiliano 0764727925 niko G/MBOTO Dar es salaam.