Naitaji pikipiki aina ya fekon

Naitaji pikipiki aina ya fekon

Hahahaha. Weeh unatafuta kumuelewa Boflo kwani umemzaa wewe. Umuwache baba wa watu marA laki 1, weeh kula bataz hadi kuku waone wivu

ahahahhahahahhahahhahahhahhaa eat za chiken until the duks go reds!
uuuwih!
nirudishepo basi kwa Boflo ,ujue mtaani nilisumbua sana enzi zake!
ehehehehhehhe kitu cha mchuma wa $95000 mchezo!
 
Last edited by a moderator:
Mie sisahau fadhila bwana, nimefundwa toka std 3! Hata ukija kunifanyia roofing kwenye hii ghorofa hapa unadhani ntasahau? Yaani hata ukiweka tiles na ac, mie aaaah!

na akikufanyie hivo ndo atakuwa boooooooooooooooooooooooonge la mwanaume!
usisahahu kumalizia hivo bana!oh!
 
HABARI

Naitaji PIKIPIKI aina ya FEKON AU SUNLG ambayo haijatumika sana yaani imetumika miezi 2 au 4 kwa ajili ya shughuli zangu binafsi na yenye uwezo wa 150cc - 240cc, iwe na kadi yake nitanunua kwa bei ya Tsh. 700,000/= tu ndo uwezo wangu. kwa aliyonayo basi aniPM au anisms hapa: Email: nikprintgraphics@yahoo.com.

ni muhimu sana marafiki pls

yani pikipiki imetumika miezi 2 au 4 kwa laki 7 daah hauko serious. Maana mpya ni 1.7m mpaka 2m. Anyway endelea kusubiri
 
Kuna hii hapa aina ya "Jinyee", anauza EMT, are you interested?
Kama umeipenda wasiliana na assistant wake snowhite for transaction
cc: Kongosho

piki.jpg
Hahahaha,aisee hilo jina ukipandia tu UNAHARA,yaani ni JINYEE,hahahaha kweli kazi tupu,itajaa inye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom