poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 456
- 175
Hizo simu za Nokia 3310 (2017) bado hazijaanza kuuzwa.
Kilichofanyika ni kuzinduliwa tu. Kwa hiyo bado hazipo duka lolote
Hata ulaya wanasubiri. Pengine kuanzia mwezi wa nne au wa tano
mwaka huu zaweza kuingia sokoni. Msije kutapeliwa mtu yeyote
akadai anaziuza.
Kilichofanyika ni kuzinduliwa tu. Kwa hiyo bado hazipo duka lolote
Hata ulaya wanasubiri. Pengine kuanzia mwezi wa nne au wa tano
mwaka huu zaweza kuingia sokoni. Msije kutapeliwa mtu yeyote
akadai anaziuza.