Kang
kipo sema t aujui kijana wangu ila iyo mambo ipo coz kuna jamaa anaseti kwa ktumia gharama xana
Napenda tu kama kuna mwenye idea ya proces za google na jinsi ya ku seti intanet ya bure, sababu inasemekana unaweza tumia intaneti bure ila unatakiwa useti kupitia google mwenye idea jaman please anipe information na proces