naitaji iphone 3g au 3gs ya kununua

naitaji iphone 3g au 3gs ya kununua

frozen

Senior Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
135
Reaction score
32
Wadau habarini. Naitaji iphone 3g au 3gs budget yangu ni 250000/ iwe kwenye hali nzuri pia iwe na accessories zake zote.
Asanten wadau.
 
Wadau habarini. Naitaji iphone 3g au 3gs budget yangu ni 250000/ iwe kwenye hali nzuri pia iwe na accessories zake zote.
Asanten wadau.
Hilo ombi lako nalifanisha na mtu mmoja aliyekuwa akitafuta gari ya m. 1.6,lakini anataka
nenda kwenye maduka za simu!japo dukani ni mara nne za bei yotaja.
 
No offence but, this is iPhone you are talking about not Nokia n95. It took a man's life you know!
 
Guys..so how mush my budget should be ? Tunaweza tukaongea zaiedi
 
Kaka nitenge budget ya sh ngapi niweze kumiliki hii simu,coz nimetumia black berry sasa nataka tumia simu tofauti
 
Wadau habarini. Naitaji iphone 3g au 3gs budget yangu ni 250000/ iwe kwenye hali nzuri pia iwe na accessories zake zote.
Asanten wadau.

Du bei gani? unakautani na kampuni ya apple,zinauzwa ghari mkuu! mimi ninayo Iphone 4 ya 32GB nimenunua about USD 860 na sio bongo!
 
usd 500 kama waweza hapo niambie nikupe kitu kipya kutoka kwa boxi
 
Mm ninayo iphone 3gs 16 gb black, ipo ktk gud condition, ina lots of apps, and games like fifa, pro evolution soccer, real football, need for speed, assasin creed, driver, and lots more,,,,,, accesories nlokua nayo ni charger with cable na external battery....... Kaka unatakiwa uwe serious ivi wataka iphone ama nokia? Bei za iphone zimesimama kaka labda upate ngoma 2g au 3g lkn ilochokaaaaaaaaaa!!!!

Km uko serious angusha mpunga laki 4 tufanye biashara....
Maelezo zaid nitumie pm
 
iphone sio issue..ni bora ukanunua nokia 5800 unapata mpya kabisa.
 
Nitumie hiyo hela kweye mpesa nitakutafutia cm bana.
 
Wadau habarini. Naitaji iphone 3g au 3gs budget yangu ni 250000/ iwe kwenye hali nzuri pia iwe na accessories zake zote.
Asanten wadau.
mkuu kwa hiyo bei labda usubiri mtu aporwe ndio wakuuzie na kwa bahati mbaya hao watu hawapo humu
 
hahahaaaa' Symbian uzerz' mpaka sasa 2011!!! poleni sana,,,,,,,,,:lol: :lol: :lol: :lol:

ukiwa na iPhone, kudownload musics, albums mpaka utumie iTunes nayo inacost $,.wakati nokia ni bure.
 
ukiwa na iPhone, kudownload musics, albums mpaka utumie iTunes nayo inacost $,.wakati nokia ni bure.
ukiwa na Iphone sahau matatizo madogo madogo ya multimedia, office na social networking''',,Iphone mwanzo mwisho, hilo la kudownload music ishu ndogo sana kwa Iphone, tena bure, bundle yako tu',,,,,,,,,,,,
2n579t.jpg
2whfsw9.png

9gkgt3.jpg
dvqcz9.png
1sy34x.png
2jezm68.png
 
Kaka kweli, hii kitu nimeisubiria kwa muda, sasa nimeipata na enjoy sana.
 
Wadau habarini. Naitaji iphone 3g au 3gs budget yangu ni 250000/ iwe kwenye hali nzuri pia iwe na accessories zake zote.
Asanten wadau.

Ninayo hiyo rangi nyeupe mpya nimetumia mwezi sasa naiuza 650,000 imenunuliwa UK. paund 450 ina vitu vyote na manual , imenishinda matumizi kila kitu kinahitaji hela kuwa downloaded, kama unanguvu nitafute kwenye 0716515444
 
Back
Top Bottom