Hakuna mtu atakupa ajira kwa mwandiko wa majigambo hivi mdogo wangu.JAMANI NIMEONA MNALALAMIKA KUUSU NAMNA YA KUWASILISHA UJUMBE EBU NIPENI INTERVIEW NDIO UTAKAPOONA UWEZO WANGU ....#📌UWEZO HAUPIMWI KWlA MWANDIKO NA MPANGILIO 🔥
Aunt habari yakoHakuna mtu atakupa ajira kwa mwandiko wa majigambo hivi mdogo wangu.
Use a polite and professional language..jipe muda kusoma mabandiko ya watu humu wanaoomba kazi.
Platinum Credit Limited ni kampuni inayotoa mikopo kwa Watumishi wa Umma, wafanyabiashara na wafanyakazi kampuni binafsi.Nahitaji ajira elimu kidato cha 6 sema kidato sio muhimu, cha msingi mshahara. Nipo Dar Es Salaam
Nimepga JKT hata wenye connection za majeshi njooni mnipe .
Asante