Naitaji ajira

Naitaji ajira

Kuna utoto pia mkuu.
Kutojua kwa ufasaha lugha yake ya taifa siyo utoto ni uzembe mkubwa sana, tena kijana wa kidato cha sita!

Kwa miaka 13 amesoma kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita anashindwa kuandika neno nahitaji au
hata.

Libaba la kidato cha sita bado linachanganya herufi kubwa na ndogo kwenye sentensi!

Mpangilio wa ombi lake la kazi hauonyeshi unyenyekevu, staha na heshima.

Hapa alitakiwa awaonyeshe waajiri wake watarajiwa ufasaha wake katika kujieleza, kuandika na staha aliyo nayo.
 
Hay
Kutojua kwa ufasaha lugha yake ya taifa siyo utoto ni uzembe mkubwa sana, tena kijana wa kidato cha sita!

Miaka 13 kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita anashindwa kuandika neno nahitaji au hata.

Libaba la kidato cha sita bado linachanganya herufi kubwa na ndogo kwenye sentensi.

Mpangilio wa ombi la kazi hauonyeshi unyenyekevu, staha na heshima.

Hapa alitakiwa awaonyeshe waajiri ufasaha wake katika kujieleza na kuandika.
A yapo sana mkuu, mbona mimi nasoma na vijana wanaandika "xaxa" badala ya sasa na mengine yafananayo na hili
 
Me namuelewa kama amepiga comb za sayansi au hesabu nyingi Kuna Hali flani unasahau kuandika maneno mengi ya kiswahili ndiyo analopitia

Ingependeza mumsaidie kama Kuna uwezekano kwenye hitaji lake kuliko hivi mnavyomkosoa sana hata mtu anayetaka kumpa ajira anaweza kughairi kwa kusoma comment zenu
Wengine wanataka wampe kazi ila inayohusisha kuandika taarifa mbalimbali.

Sasa kwa jinsi anavyoandika na mpangilio wake lazima wawe na shaka naye.
 
Wengine wanataka wampe kazi ila inayohusisha kuandika taarifa mbalimbali.

Sasa kwa jinsi anavyoandika na mpangilio wake lazima wawe na shaka naye.
Uko sahihi mkuu ila pia waaajiri wanaweza kutaka kumpa kazi ila wakusoma maoni yenu watabadili mawazo juu ya kumpa kitengo kijana wa watu
 
Habari zenu wana jamii Naitaji ajira ELIMU kidato Cha 6 sema kidato sio muhimu Cha msingi mshara nipo dsm....nimepga JKT ata wenye connection za majeshi njooni mnipe . Asante
Miaka 10 iliyopita nimepiga 823KJ
Ndugu mtoa mada,wewe umepiga kikosi kipi?
Na unaweza kufanya kazi zipi?
Ungeorodhesha ,Ili muajiri aweze kuona.
 
Habari zenu wana jamii Naitaji ajira ELIMU kidato Cha 6 sema kidato sio muhimu Cha msingi mshara nipo dsm....nimepga JKT ata wenye connection za majeshi njooni mnipe . Asante
Tafuta namna nzuri yakuwasilisha, shida yako iliupate wakukusaidia... (Namna nzuri ya uandishi ilyo jaa hekima na Busara)... Unaweza ukawa na CV nzuri kielim ila vitu kama mazungumzo vikatilia shaka uwezo wako na UAMINIFU.

By, Joshua (Agency)
 
Habari zenu wana jamii Naitaji ajira ELIMU kidato Cha 6 sema kidato sio muhimu Cha msingi mshara nipo dsm....nimepga JKT ata wenye connection za majeshi njooni mnipe . Asante
Ke au Me?
 
Dah wadau mnavyompika mtoa mada

Mnatutisha hadi na sisi wengine tuliokuwa na mpango huo wa kuja kuomba kazi hapa jukwaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom