Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 709
- 2,858
Hahahaha mzee wa kuingia dakika ya 89 na kufunga goli alafu akaishia kufanya kampeni kwenye kijiji cha Rondo. Ni mgombea urais pekee aliyeweka rekodi ya kufanya kampeni zenye ukubwa wa eneo sawa na mwenyekiti wa kijiji.
Licha ya Membe kuwa waziri kwa miaka 15 hakuna legacy yoyote aliyowaachia watanzania
Licha ya Membe kuwa waziri kwa miaka 15 hakuna legacy yoyote aliyowaachia watanzania