johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,010
Leo Benard Membe atapumzishwa nyumbani kwao Rondo.
Ninamkumbuka Membe kwa mchango wake wa Fedha za kulipia Deni la manunuzi ya Viwanja vya BCIC Hakuna Lisilowezekana kwa Mungu.
Nitamkumbuka Membe kwa mchango wake pale TAG - Upanga CCC.
Lakini pia nitamkumbuka Membe kwa mchango wake wa Fedha kea ajili ya Ukurabati wa Ukumbi wa mikutano pale St Albans Anglican Church Upanga.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
RIP Ben!
Ninamkumbuka Membe kwa mchango wake wa Fedha za kulipia Deni la manunuzi ya Viwanja vya BCIC Hakuna Lisilowezekana kwa Mungu.
Nitamkumbuka Membe kwa mchango wake pale TAG - Upanga CCC.
Lakini pia nitamkumbuka Membe kwa mchango wake wa Fedha kea ajili ya Ukurabati wa Ukumbi wa mikutano pale St Albans Anglican Church Upanga.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
RIP Ben!