Naisikitikia JUMAPILI.

Naisikitikia JUMAPILI.

Ufalme wa mbinguni hautawapita kando.
 
Duhh hadi watoto wanakula sadaka,wakubwa short times!!!Kweli hao wanaoenda kwenye ibada bila kitabu chochote cha neno la Mungu kuna uwezekano mkubwa sana wakapitiliza kwenda short times.Unajua nini kama umetoka na biblia itakusuta kuingia nayo kwenye room ya 6*6!
Heri yangu mie nimetoka kanisani na niko nyumbani najiandaa baadaye kwenda kwenye vikao vya harusi si mnajua tena leo ilivyo Jpil Munkari naye yupo nyumbani!@Kaizer Mokoyo na DEMBA sijawaona kanisani vipi kulikoni?
he he sungura1980 sie tulikaa mbele kabisa. siku ya mungu hii bwana hakuna kula wala kuliwa
 
Last edited by a moderator:
Siku ambayo wakristo wengi wanaithamini kwa kwenda makanisani kuabudu.
Cha ajabu siku hii imekuwa ya kutenda maovu kwa sisi akina dada wengi sababu ya uhuru tunaopewa majumbani mwetu.
Wengi tunaliwa sana "Jumapili
na wengi wanakula sana Jumapili
Fanya tathmini uone ni siku gani unaongoza kula ama kuliwa.

Vipi wewe umeshawahi kuliwa Jamapili....?
 
Dah kweli kabisa hata mimi huwa jumapili huwa nakula mzigo tena baada ya misa kanisani
 
Siku ambayo wakristo wengi wanaithamini kwa kwenda makanisani kuabudu.
Cha ajabu siku hii imekuwa ya kutenda maovu kwa sisi akina dada wengi sababu ya uhuru tunaopewa majumbani mwetu.
Wengi tunaliwa sana "Jumapili
na wengi wanakula sana Jumapili
Fanya tathmini uone ni siku gani unaongoza kula ama kuliwa.

mi sijawahi ila natamani kweli help me chatts55
 
Hata mimi naiskitikia sana...!!!

Monday nadhani ndo siku takatifu kuliko zote...
 
hahahahah,monday is always cool,that's why wengi wanaihate na kuipa majina a ajabu ajabu
Hata mimi naiskitikia sana...!!!

Monday nadhani ndo siku takatifu kuliko zote...
 
Hahahahahahah umenichekesha sana ndugu yangu sungura1980. Nimecheka mpaka mbavu zinauma

Duhh hadi watoto wanakula sadaka,wakubwa short times!!!Kweli hao wanaoenda kwenye ibada bila kitabu chochote cha neno la Mungu kuna uwezekano mkubwa sana wakapitiliza kwenda short times.Unajua nini kama umetoka na biblia itakusuta kuingia nayo kwenye room ya 6*6!
Heri yangu mie nimetoka kanisani na niko nyumbani najiandaa baadaye kwenda kwenye vikao vya harusi si mnajua tena leo ilivyo Jpil Munkari naye yupo nyumbani!@Kaizer Mokoyo na DEMBA sijawaona kanisani vipi kulikoni?
 
ulikuwa unawaza nini mpaka kuanzisha hii mada? in maana kubwa sana
Siku ambayo wakristo wengi wanaithamini kwa kwenda makanisani kuabudu.
Cha ajabu siku hii imekuwa ya kutenda maovu kwa sisi akina dada wengi sababu ya uhuru tunaopewa majumbani mwetu.
Wengi tunaliwa sana "Jumapili
na wengi wanakula sana Jumapili
Fanya tathmini uone ni siku gani unaongoza kula ama kuliwa.
 
Ni kweli. Hata me nikiwa na mishe zangu uwa sibebi chochote kati ivyo kwani uwa naona kama ni mzigo tu!
Wengi walianza dhambi na kusema uongo toka zamani! Ka research kadogo tu kinaonesha jumapil ndo siku watoto wengi wananunua pipi,biscuit,soda..and the like! Wanagawana sadaka na Muumba!

so umri unapo ongezeka na matendo yanabadilika na kufanya maovu zaidi. Na ogopa binti au mvulana amevaa kapendeza anaenda kanisani hana biblia wala kitabu cha nyimbo! Even a notebook and pen ku note mafundisho na mahubiri!
 
Back
Top Bottom