chatts55
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 600
- 97
Siku ambayo wakristo wengi wanaithamini kwa kwenda makanisani kuabudu.
Cha ajabu siku hii imekuwa ya kutenda maovu kwa sisi akina dada wengi sababu ya uhuru tunaopewa majumbani mwetu.
Wengi tunaliwa sana "Jumapili
na wengi wanakula sana Jumapili
Fanya tathmini uone ni siku gani unaongoza kula ama kuliwa.
Cha ajabu siku hii imekuwa ya kutenda maovu kwa sisi akina dada wengi sababu ya uhuru tunaopewa majumbani mwetu.
Wengi tunaliwa sana "Jumapili
na wengi wanakula sana Jumapili
Fanya tathmini uone ni siku gani unaongoza kula ama kuliwa.