Kimepoteza dira Kabisa. Hakieleweki Nini kinafanya. Chama kilikuwa kimekua na kukubalika vyema Kabisa kwa watanzania, cha ajabu kikajipaka ma.v kwa kuchukua mafisadi na majizi yaliyokataliwa na wananchi. Pesa mbaya sana. Sasa hivi Huku mitaani wanasema hiki ni Chama cha wapigaji, ni taasisi ya kuweka na kukopa Kama zilivyo SACCOS. Tulifurahi kwa kupata Chama mbadala kumbe ptuuuuu...wapigaji Dili. Sasa hivi wamebaki wazee wa Siasa siasa za matukio...kinakoelekea kitakuwa Chama cha kufa na kuzikana.
Kimepoteza dira Kabisa. Hakieleweki Nini kinafanya. Chama kilikuwa kimekua na kukubalika vyema Kabisa kwa watanzania, cha ajabu kikajipaka ma.v kwa kuchukua mafisadi na majizi yaliyokataliwa na wananchi. Pesa mbaya sana. Sasa hivi Huku mitaani wanasema hiki ni Chama cha wapigaji, ni taasisi ya kuweka na kukopa Kama zilivyo SACCOS. Tulifurahi kwa kupata Chama mbadala kumbe ptuuuuu...wapigaji Dili. Sasa hivi wamebaki wazee wa Siasa siasa za matukio...kinakoelekea kitakuwa Chama cha kufa na kuzikana.
Ni bora wakaendelea kukaa kimya kuliko wakaongea washie lupango,kwanza ni vizuri kukaa kimya ili wananchi mjifunze kwa vitendo.Na pia kuona ubaya wa CCM inawalazimu wapinzani kukaa kimya ili mjionee wenyewe.Acha uzushi mkuu.
Mbona siwasikii wakilalamika?
Matukio ya kutengenezwa na CCM yangekosolewa sana kipindi cha nyuma lkn wako kimya. Mfano, wamachinga, mauwaji ya watu saba, lema, mikopo elimu ya juu, dangote, fedha za rambirambi kagera, n.k
Watu waliozoea 'kelele' za wapinzani wanajiuliza, 'mbona upinzani umenyamazia mambo haya?
Kuna mwanajamvi alikuja na uzi hapa kuwa upinzani wako kimya mno.
Wewe umewasikia wakiikosoa serikali kwa utendaji wake lini?
Na hizi ndizo threads za anaejiita mwana-Chadea,Kimepoteza dira Kabisa. Hakieleweki Nini kinafanya. Chama kilikuwa kimekua na kukubalika vyema Kabisa kwa watanzania, cha ajabu kikajipaka ma.v kwa kuchukua mafisadi na majizi yaliyokataliwa na wananchi. Pesa mbaya sana. Sasa hivi Huku mitaani wanasema hiki ni Chama cha wapigaji, ni taasisi ya kuweka na kukopa Kama zilivyo SACCOS. Tulifurahi kwa kupata Chama mbadala kumbe ptuuuuu...wapigaji Dili. Sasa hivi wamebaki wazee wa Siasa siasa za matukio...kinakoelekea kitakuwa Chama cha kufa na kuzikana.
usiishi kwa kukariri mambo dogo. Mbona Sumaye alikuwa CCM lakini leo ni chadema? Lowasa kadhalika? Tumia kichwa kufikiri sio kufugia tu nyweleNa hizi ndizo threads za anaejiita mwana-Chadea,
Huu ni mwaka muhimu kwa mabadiliko ya ndani, Tuichague CCM
Hakuna tena upinzani Tanzania
CCM Itaendelea kutawala TZ karne nyingine ijayo
Utafiti: CCM chini ya Kinana imeimarika mara dufu
Kisingi huyu jamaa threads zake zote za kuishambulia CHADEMA na Ukawa
https://www.jamiiforums.com/search/8316026/?page=4
Ok Kubwa,usiishi kwa kukariri mambo dogo. Mbona Sumaye alikuwa CCM lakini leo ni chadema? Lowasa kadhalika? Tumia kichwa kufikiri sio kufugia tu nywele
OKKimepoteza dira Kabisa. Hakieleweki nini kinafanya. Chama kilikuwa kimekua na kukubalika vyema kabisa kwa watanzania, cha ajabu kikajichafua kwa kuchukua mafisadi na majizi yaliyokataliwa na wananchi. Pesa mbaya sana.
Sasa hivi Huku mitaani wanasema hiki ni chama cha wapigaji, ni taasisi ya kuweka na kukopa Kama zilivyo SACCOS. Tulifurahi kwa kupata chama mbadala kumbe ptuuuuu...wapigaji Dili. Sasa hivi wamebaki wazee wa Siasa siasa za matukio kinakoelekea kitakuwa chama cha kufa na kuzikana.
Sasa kama kimekufa si uhamie chama kingine? Kwani ulilazimishwa kubakiamo mbwa mkubwa wee?Kimepoteza dira Kabisa. Hakieleweki nini kinafanya. Chama kilikuwa kimekua na kukubalika vyema kabisa kwa watanzania, cha ajabu kikajichafua kwa kuchukua mafisadi na majizi yaliyokataliwa na wananchi. Pesa mbaya sana.
Sasa hivi Huku mitaani wanasema hiki ni chama cha wapigaji, ni taasisi ya kuweka na kukopa Kama zilivyo SACCOS. Tulifurahi kwa kupata chama mbadala kumbe ptuuuuu...wapigaji Dili. Sasa hivi wamebaki wazee wa Siasa siasa za matukio kinakoelekea kitakuwa chama cha kufa na kuzikana.
Ikiota kutu ni nani atakayeumia kwa kukosa elomu ya iraia kama sio wewe na wajinga wenzako huko Lumumba FC? Maiti mkubwa!Sasa hivi chopa itaota kutu..maana hakuna cha kwenda kuwahubiria tena watu mikoani..
Kimepoteza dira Kabisa. Hakieleweki nini kinafanya. Chama kilikuwa kimekua na kukubalika vyema kabisa kwa watanzania, cha ajabu kikajichafua kwa kuchukua mafisadi na majizi yaliyokataliwa na wananchi. Pesa mbaya sana.
Sasa hivi Huku mitaani wanasema hiki ni chama cha wapigaji, ni taasisi ya kuweka na kukopa Kama zilivyo SACCOS. Tulifurahi kwa kupata chama mbadala kumbe ptuuuuu...wapigaji Dili. Sasa hivi wamebaki wazee wa Siasa siasa za matukio kinakoelekea kitakuwa chama cha kufa na kuzikana.
Kwa huyu jamaa, wapinzani wala wasitumia nguvu na rasilimali kuwaonesha wananchi ubaya wa serikali hii. Kila mwenye ufahamu, anajua kinachoendelea.Ni bora wakaendelea kukaa kimya kuliko wakaongea washie lupango,kwanza ni vizuri kukaa kimya ili wananchi mjifunze kwa vitendo.Na pia kuona ubaya wa CCM inawalazimu wapinzani kukaa kimya ili mjionee wenyewe.
wewe ndo umepoteza dira chadema bado chama makini sanaKimepoteza dira Kabisa. Hakieleweki nini kinafanya. Chama kilikuwa kimekua na kukubalika vyema kabisa kwa watanzania, cha ajabu kikajichafua kwa kuchukua mafisadi na majizi yaliyokataliwa na wananchi. Pesa mbaya sana.
Sasa hivi Huku mitaani wanasema hiki ni chama cha wapigaji, ni taasisi ya kuweka na kukopa Kama zilivyo SACCOS. Tulifurahi kwa kupata chama mbadala kumbe ptuuuuu...wapigaji Dili. Sasa hivi wamebaki wazee wa Siasa siasa za matukio kinakoelekea kitakuwa chama cha kufa na kuzikana.