Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,910
- 1,131
Ujinga tu mtu kugawa K yake kabla ya ndoa hizo K mmepewa na mungu sio mziwache wazi kabla ya ndoa.
Eti tunakutana hotelini afu ananipenda na mimi nampenda ujinga mtupu, mwenye kukupenda anakuoa sio anakuchezea hotelini.
Akatae akubari ukweli ndio huo, yaani miaka mitano hupo gizani bado unajiona upo peupe kweli muda hauna thamani tena kwa kizazi hichi.