Naishi naye ndio, Lakini...

Unaishi nae miaka miatu, unafanya nae mapenzi marakwa mara sio haki. Usingekubali kuishi nae nngekushaur uachane nae, ila umeishi nae miaka mitatu na unamlala daily af unasema huna hisia nae....tena mnatumia hadi njia za uzaz wa mpango ahahaa noma sana......

We cha msingi usifate ushauri wa mtu yoyote, ishi kama unavyoishi muda utaamua wenyewe, we ishi tu mambo yatajiset yenyewe badae
 
Ukitaka kufanya kosa utakalolijutia maisha yako yote achana na huyo mwanamke aliyekuzalia mtoto oa huyo mchumba wako.
 
Naomba nikuulize "samahani", na ninaomba jibu la kweli kabisa pasipo kificho; JE UNAMPENDA HUYO ULIYEZAA NAE? JE UNAISHI NAYE KWA SABABU YA HURUMA? JE HUYO MCHUMBA DEMU WAKO WA NJE ANAFANYA SHUGHULI GANI? JE TANGU UANZISHE UHUSIANO NA HUYO ULIYENAYE NDANI, UMESHAWAHI KUMTAFUNA HUYO DEMU UNAYEDAI UTAMUOA? JE HUYO ALIYE NDAN NI KABILA GANI NA JE ALIYE NJE NI KABILA GANI? Kama utashindwa kunijibu hapa njoo inbox. Ahsante
 
Jitahidi kuwa muungwana bro,ninachokiona hapo huyu uliyezaa naye ndo mke maana mmeishi walau kwa miaka mitatu.Huyo ambaye unasema una malengo naye nakwambia utarudi tena hapa kuomba ushauri.Anajifanya kukusamehe na kumpenda mwanao kwa sabb tu hujamweka ndani,siku ukimweka ndani utajuta,ipo siku hautaamini macho na masikio yako.Lkn pia naona unataka kufupisha tu maisha yako,huyo uliyezaa naye mnaishi mtaa mmoja au eneo moja ni maumivu gan atayapata ukimwambia et una mchumba mwingine wa kuoa na yeye yupo tu kupoteza muda.Jitafakali bro,unaweza kufurahi leo lkn ukalia soon.
 
Malengo yazidi umuhimu wa mwanao, hivi unajua wanawake wanavyowatesa watoto wa kutowazaa japo saizi anajifanya kondoo? achana na malengo pambania huyo ulienae sasa..
 
Nadhani umejibiwa vyema...fuata sana ushauri wa page ya kwanza. Kila la kheri.
 
Ukimwacha huyo UTAJUTA KUZALIWA


Narudia UKIMWACHA HUYO UTAJUTA KUZALIWA
 
Usiishi na mwanamke usiyempenda eti kisa umezaa naye, Mwandalie Mazingira mazuri mama na mwanao halafu muoe haraka mwanamke wa ndoto zako ili uishi kwa furaha, Usitishwe na maneno hakuna revenge wala kisasi
Amewezaje kuishi na mwanamke asiyempenda kwa miaka mitatu?
 
Kuna wakati Mungu anakuletea kitu ambacho wew hukuwahi kufikiri yn unaweza ukachukia jambo lkn hill jambo likawa na heri na wew pia unaweza ukapenda jambo lkn hilo jambo likawa na Shari na wew ...oa mama mtoto wako mchumba atampata mwenzake Hugo mchumba anakulia timing uingie ktk 18 zake akulipizie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…