jaywacnza
JF-Expert Member
- Sep 15, 2012
- 998
- 1,150
Unaishi nae miaka miatu, unafanya nae mapenzi marakwa mara sio haki. Usingekubali kuishi nae nngekushaur uachane nae, ila umeishi nae miaka mitatu na unamlala daily af unasema huna hisia nae....tena mnatumia hadi njia za uzaz wa mpango ahahaa noma sana......
We cha msingi usifate ushauri wa mtu yoyote, ishi kama unavyoishi muda utaamua wenyewe, we ishi tu mambo yatajiset yenyewe badae
We cha msingi usifate ushauri wa mtu yoyote, ishi kama unavyoishi muda utaamua wenyewe, we ishi tu mambo yatajiset yenyewe badae