Naishauri TEC ifanye maandamano ya amani kupinga kilichotokea kwa Fr. Kitima

Naishauri TEC ifanye maandamano ya amani kupinga kilichotokea kwa Fr. Kitima

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Baada ya hapo, ni wazi watamlenga Rais wa TEC Wolfgang!!

Mkikaa kimya, Wahuni watautangaza uongo wao uwe mkubwa sanaaa ili Jamii iuamin ionekane kua 'Alikua kalewa '.

Niwashauri TEC , kabla suala hili halijapoa, itisheni Maandamano ya Amani Kwa Waumini wenu Nchi nzima.
 
Baada ya hapo, ni wazi watamlenga Rais wa TEC Wolfgang!!

Mkikaa kimya, Wahuni watautangaza uongo wao uwe mkubwa sanaaa ili Jamii iuamin ionekane kua 'Alikua kalewa '.


Niwashauri TEC , kabla suala hili halijapoa, itisheni Maandamano ya Amani Kwa Waumini wenu Nchi nzima.
Sisi Wakatoliki siyo nyumbu kama wanachadema hatuwezi kuandamana eti kwa sababu Padri Kitima kapigwa. Kama anamatatizo yake na watz wanaomzunguka?

Mapadri wengine wanachukua wake za watu, wanastahiri kupata vichapo vya mbwa koko.
 
Tunasubiri maelekezo....ya kanisa na vita ni wakilristu woote bila kujali dhehebu dhidi udhalimu wa chura kiziwi na umwagaji damu wake...atawale kwa damuui.....kura za waumini woote wa kristu hapatiiii
 
Kwahio issue ni against wakristo na sio mtanzania kama mtanzania mwingine ambavyo anaweza kupigwa ?

Kila siku nasema politicizing issues ni kuzi dilute, hili likimewe na kila mtanzania kama vile yoyote ambavyo akifanyiwa ndivyo sivyo kila mtu akemee na sio kuanza kutenga tenga watu wa kulaani vitendo, huko ni kutoana kwenye reli na mwendelezo wa divide and rule...
 
Baada ya hapo, ni wazi watamlenga Rais wa TEC Wolfgang!!

Mkikaa kimya, Wahuni watautangaza uongo wao uwe mkubwa sanaaa ili Jamii iuamin ionekane kua 'Alikua kalewa '.


Niwashauri TEC , kabla suala hili halijapoa, itisheni Maandamano ya Amani Kwa Waumini wenu Nchi nzima.
Mimi ni Mkatoliki na SITAANDAMANA!
 
Sisi Wakatoliki siyo nyumbu kama wanachadema hatuwezi kuandamana eti kwa sababu Padri Kitima kapigwa. Kama anamatatizo yake na watz wanaomzunguka?

Mapadri wengine wanachukua wake za watu, wanastahiri kupata vichapo vya mbwa koko.
1746038375213.jpg
 
Hata siku moja hawawezi kufanya hivyo ila wamemrahisishia sana TAL na ajenda zake za reforms kueleweka duniani.

Na ile wazo la wanaharakati la kwenda ICC limepewa milage na kudhuriwa kwa PHD. Charles Kitima
 
Tunasubiri maelekezo....ya kanisa na vita ni wakilristu woote bila kujali dhehebu dhidi udhalimu wa chura kiziwi na umwagaji damu wake...atawale kwa damuui.....kura za waumini woote wa kristu hapatiiii
Labda nyumbu ambao huwa wanafuata mkumbo tu!
 
Sisi Wakatoliki siyo nyumbu kama wanachadema hatuwezi kuandamana eti kwa sababu Padri Kitima kapigwa. Kama anamatatizo yake na watz wanaomzunguka?

Mapadri wengine wanachukua wake za watu, wanastahiri kupata vichapo vya mbwa koko.
Wewe ni Mkatoliki aina ya Akina Makonda tu
 
Hapa umekosea. Hii inapaswa iwe ya nchi nzima sio RC pekee bali wananchi wote bila kujali itikadi zao.
Kwani mzee kibao alikuwa mroma
 
Baada ya hapo, ni wazi watamlenga Rais wa TEC Wolfgang!!

Mkikaa kimya, Wahuni watautangaza uongo wao uwe mkubwa sanaaa ili Jamii iuamin ionekane kua 'Alikua kalewa '.


Niwashauri TEC , kabla suala hili halijapoa, itisheni Maandamano ya Amani Kwa Waumini wenu Nchi nzima.
FUTA HII < SI KWELI
 
Hata siku moja hawawezi kufanya hivyo ila wamemrahisishia sana TAL na ajenda zake za reforms kueleweka duniani.

Na ile wazo la wanaharakati la kwenda ICC limepewa milage na kudhuriwa kwa PHD. Charles Kitima
Hakika Mkuu

Na tushukuru sana Wamejaribu Kumuua ila ni mzima.
Angekufa, ingetuumiza sana
 
Back
Top Bottom