Nairobi road network..

Kweli huu ni utoto! Leteni mada fikirishi hatuishi kwa kushindana. Kila nchi ina vipaumbele vyake.
 
Hizo barabara zimejengwa wakati ya Kibaki 2002-12.
China 70 years ago haikuwa kama sasa.
Mpaka 2008 watu walikuwa wanapitia Nairobi kwenda Dar toka Mwanza au Kampala-Nairobi-Dar toka Bukoba.

Leo Mwanza Dar au Bukoba Dar ni mkeka.

Leo Lindi Dar ni siku moja tu

Leo Lindi Songea Siku moja tu

Inaweza isiwe overnight achievement kuwa na flyover kama za Kenya.

Ila Tanzania ina potential ya kuvuka hapo in years to come.

Kampala 6 years ago haikuwa na flyover hata moja. Leo zipo kadhaa.

It takes visionary leader to make things happen.
Akitoka Ngosha; ndugu yangu ingia wewe ili uwe part ya great achievement kwa Tanzania yako na ya vizazi vijavyo
 
Fly over zipo kadhaa? Kuna nyingine Mkuu tofauti na ile ya Mfugale?
 
Hizo barabara zimejengwa wakati ya Kibaki 2002-12.
China 70 years ago haikuwa kama sasa.
Mpaka 2008 watu walikuwa wanapitia Nairobi kwenda Dar toka Mwanza au Kampala-Nairobi-Dar toka Bukoba.

Leo Mwanza Dar au Bukoba Dar ni mkeka.

Leo Lindi Dar ni siku moja tu

Leo Lindi Songea Siku moja tu

Inaweza isiwe overnight achievement kuwa na flyover kama za Kenya.

Ila Tanzania ina potential ya kuvuka hapo in years to come.

Kampala 6 years ago haikuwa na flyover hata moja. Leo zipo kadhaa.

It takes visionary leader to make things happen.
Akitoka Ngosha; ndugu yangu ingia wewe ili uwe part ya great achievement kwa Tanzania yako na ya vizazi vijavyo
Tunacho zungumzia hapa ni weledi katika miundo mbinu. Tanzania nahisi tunajenga miundombinu ambayo haitatui kero za foleni hicho ndicho kilio chetu.


Wengi hapa mnachanganya topic.. dar inaweza kuwa ina barabara nyingi za lami kuliko nairobi lakini hazitatui changamoto za foleni.
 
Tunacho zungumzia hapa ni weledi katika miundo mbinu. Tanzania nahisi tunajenga miundombinu ambayo haitatui kero za foleni hicho ndicho kilio chetu.


Wengi hapa mnachanganya topic.. dar inaweza kuwa ina barabara nyingi za lami kuliko nairobi lakini hazitatui changamoto za foleni.
Kama hatatui; moja ya njia bora kabisa ni wewe visionary kuingia katika decision making body and be part of the change
 
Tunacho zungumzia hapa ni weledi katika miundo mbinu. Tanzania nahisi tunajenga miundombinu ambayo haitatui kero za foleni hicho ndicho kilio chetu.


Wengi hapa mnachanganya topic.. dar inaweza kuwa ina barabara nyingi za lami kuliko nairobi lakini hazitatui changamoto za foleni.
Umeshafika Nairobi wew? Mbona foleni lipo kama kawa kama dawa!
 
Jiji la Nairobi ndo linaloongoza kwa foleni mbaya Africa Mashariki na Kati. Utatamani ushuke kwenye gari utembee kwa miguu, kama una haraka utalia!
 
Jiji la Nairobi ndo linaloongoza kwa foleni mbaya Africa Mashariki na Kati. Utatamani ushuke kwenye gari utembee kwa miguu, kama una haraka utalia!
Ndio car to population ratio tena kadri barabara zinavyojengwa zaidi, mikenya inanunua magari zaidi hivyo basi foleni kuongezeka. Serikali iliamua kijenga bypass kadhaa kuondoa magari yanayopitia mjini Ila destination yake Ni nje ya mji k.m Mallory yanayosafiri kutoka Mombasa kwenda Uganda yametengenezewa Southern bypass kuzuia kuingia CBD.
Thika Road foleni kuongezeka
images (18).jpeg


Outering Road pia ina foleni kubwa especially Rush hour
DNOUTERRING0112a-1320x742.jpg


Southern bypass kuzuia magari yanayoelekea bonde la ufa kutoka Mombasa yasiingie CBD
images (1).jpeg
f04da2db11221622a5e418.jpg


Eastern bypass kuzuia magari yasiingie CBD yakielekea mkoa wa Kati na Kaskazini mwa Kenya
images (2).jpeg
images (3).jpeg
images (15).jpeg
images (16).jpeg


Redhill kuzuia magari yanayoelekea pande za Kiambu kutokea Waiyaki way zisiingie CBD na Westlands District.
images (17).jpeg
tyjwrohovmrqpaza2w5ced37ef60b4f.jpg


Thika Road foleni Kama kawaida Kama dawa
2l-image-100.jpg
 
Tunacho zungumzia hapa ni weledi katika miundo mbinu. Tanzania nahisi tunajenga miundombinu ambayo haitatui kero za foleni hicho ndicho kilio chetu.


Wengi hapa mnachanganya topic.. dar inaweza kuwa ina barabara nyingi za lami kuliko nairobi lakini hazitatui changamoto za foleni.
Nairobi ni jiji la 4 kwa foleni duniani, Dar ya ngapi? Sometimes usiongee tu sababu unataka kusikika, mantiki ya JF ilishakufa watu mnaongea bila facts

 
Back
Top Bottom