bioto
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,261
- 2,095
kwa hiyo mlizani jamaa ni jini?Niliwahi bishana na watu sana binadamu huwez pigwa risas zote 30 afu ukawa Mzima kwa idadi hiyo hata tembo hatoboi lazma afe
kwa hiyo mlizani jamaa ni jini?Niliwahi bishana na watu sana binadamu huwez pigwa risas zote 30 afu ukawa Mzima kwa idadi hiyo hata tembo hatoboi lazma afe
Swali hili lijibiwe na wanachadema je kati ya lissu na lowassa ni yupi anayeweza kushambuliwa na Serikali kwa sababu za kisiasa?
Kenya wanamshanga, mbona political assassination ni mkate wao wa kila siku hata Raila alikimbilia huku? Wanasiasa wa CCM mbona wamekufa wengi tu Kibiti na Mkuranga? Madiwani wengi wake wamerudi CCM ungetegemea baada ya speech yake nzuri wangeacha kutoka, au tuseme Iringa hawapati hizo habari nasikia leo wametoka watatu! Iringa hukohuko Dkt Klerruu aliuawa na wananchi wenye hasira 1969 kwa hiyo hii si mara ya kwanza. Uchaguzi kwa Nyalandu unakuja ngoja tuone, ingefaa awekwe kwenye ilani yao ya uchaguzi ili wananchi tujue tuizomee CCM.
mashoga huwa hawaelewi mkuu wazee wa lumumba wanajuwa kabisa ili kuwapata mazezeta kama ambavyo una waona nadhani unaona wanavyo andika mambo ya kipuuzi ili kupata watu kama hao lazima wawainamishe wawaondowe akili zakawaida so elewa unabishana na mashoga ya lumbumba mkuu siyo vijana hao 80% walisha inamishwa wakaliwa kiboga!!Tofautisha kati ya Jumla ya risasi zilizopigwa na Risasi zilizompata!!! Mbona haihitaji hata akili ya chuo kikuu
Akili za kijinga za kibashiteee!!Haya ndo madhara na matokeo ya kujifanya mtetezi wa majambazi. Uwakili ni ishu ngumu sana wakuu. Inawezekana kabisa ktk kazi zake kuna wazee wa kazi aliwatetea au akapindisha sheria na haki za watu zikapotea. Na namna pekee wakaona wamtoe uhai. Mimi huwa najiuliza hivi kweli serikali ikitaka kukuua inaweza ikatumia mbinu za kishamba namna hiyo tena mchana kweupe?..Mwulizeni vizuri lazima anajua katika kazi zake lazima kuna mahali alilikoroga
Lissu kuituhumu serkali sijapendezwa
unatakiwa kutuomba radhi wapiga kura
wake...
Nasikitika kulituhumu jeshi la polisi
la Tanzania kwamba halijakuhoji Tundu Lissu kuhusu kushambuliwa kwako,...la hasha huu si ungwana kwa sababu,
Mbowe na chama chake,walisema hawataki
kuwaona Polisi wa Tanzania kuja kumhoji
Dreva wa Lissu,
Hawataki kuona Serkali ya Magufuli
na Bunge lake likitoa msaada wake,
Chama na wanachama,
watachangashana ili kulipia matibabu...
Lissu jaribu kumuuliza Mbowe,
nani aliyesgughurikia matibabu yako
Dodoma kama siyo serkali ya Magufuli.
Pole sana Tundu Lissu kwa kukurupuka.
Huo umoja wa mataifa unaosema kuitenga
Tanzania,
Imeshindwa kuzuia ubaguzi wa rangi na mauaji yanayoendelea Israel,Libya,North korea,Syria,South Sudan,Congo DRC...
Shambulio,
Wacha atoe maoni yake, vipi nyie. Mnataka watu wote tufikiri na kusema kama nyinyi.mtuhumiwa halalamiki wewe nini kinakuwasha?
umetumwa?
Mtu mnafiki ni shimo refu kuliko kahaba,heri kuishi na mchawi kuliko mnafiki,aonavyo mtu nafsini kwake ndivyo alivyo.bora kuishi porini na simba kuliko UNAFIKI.Nyie si wa kuchekewa, hamna maana hata kidogo, kikwete aliwachekea Nusra mumtie nnanilii kwenye......., hapa ni komakoma tu mpaka mueleweke
ukiwa rais lazima uwe na ngozi ngumu lawama zote ni zako ingawa roho ya manuguniko kwa wapinzani inayoendela inakeraLissu kuituhumu serkali sijapendezwa
unatakiwa kutuomba radhi wapiga kura
wake...
Nasikitika kulituhumu jeshi la polisi
la Tanzania kwamba halijakuhoji Tundu Lissu kuhusu kushambuliwa kwako,...la hasha huu si ungwana kwa sababu,
Mbowe na chama chake,walisema hawataki
kuwaona Polisi wa Tanzania kuja kumhoji
Dreva wa Lissu,
Hawataki kuona Serkali ya Magufuli
na Bunge lake likitoa msaada wake,
Chama na wanachama,
watachangashana ili kulipia matibabu...
Lissu jaribu kumuuliza Mbowe,
nani aliyesgughurikia matibabu yako
Dodoma kama siyo serkali ya Magufuli.
Pole sana Tundu Lissu kwa kukurupuka.
Huo umoja wa mataifa unaosema kuitenga
Tanzania,
Imeshindwa kuzuia ubaguzi wa rangi na mauaji yanayoendelea Israel,Libya,North korea,Syria,South Sudan,Congo DRC...
Shambulio,
Tueleze serikali inatumia mbinu gani za kuua ambazo wewe unaona sio za kishambaHaya ndo madhara na matokeo ya kujifanya mtetezi wa majambazi. Uwakili ni ishu ngumu sana wakuu. Inawezekana kabisa ktk kazi zake kuna wazee wa kazi aliwatetea au akapindisha sheria na haki za watu zikapotea. Na namna pekee wakaona wamtoe uhai. Mimi huwa najiuliza hivi kweli serikali ikitaka kukuua inaweza ikatumia mbinu za kishamba namna hiyo tena mchana kweupe?..Mwulizeni vizuri lazima anajua katika kazi zake lazima kuna mahali alilikoroga