CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Nakushauri kama unanafasi na kama uchaguzi wa Kenya utaenda vyema, basi hudhuria maonyesho ya Kilimo ya Nairobi, hakika hutajuta kamwe, Ni Very Organized ukilinganisha na hizi Nane nane zetu.
Unaweza anzia safari Arusha na ukaenda mapema sana na kurudi kulala Arusha, unaweza jifunza vitu hasa kwenye hii industry ya Kilimo.
Unaweza anzia safari Arusha na ukaenda mapema sana na kurudi kulala Arusha, unaweza jifunza vitu hasa kwenye hii industry ya Kilimo.