Nairobi International Agriculture show Sept 26-4 Oct

Nairobi International Agriculture show Sept 26-4 Oct

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,950
Reaction score
9,510
Wakuu haya maonyesho yalisogezwa mbele nazani kwa sababu tunajua, so yanaanza 26 mwezi huu, so wanao enda wanyoshe miko juu tuone tunafanyaje.

Kuondokea ni Arusha asubuhi saa 10 tunachukua Noha ya mapema sana, saa 12 asubuhi tusha gonga muhuri na tunakamata matatu za Namanga to Nairobi na saa 3 tuko Nairobi na by saa 4 tuko viwanjani.

Kundoka kule haina haraka tunachomoka saa 11 jioni na by saa 5 tutakuwa Arusha Mungu akipenda. Nauli ya Arusha to Namanga ni sh 8000/ Namanga to Nairobi inachezea sh 12, 000 hadi 13, 000/ kutegemea na exchange rate.

Kadi ya chanjo ya homa ya manjano ni muhimu sana wanazenguaga boda ila unaweza ipata pale kwa sh 10, 000/
 
Maonyesho mazuri sana haya sema sisi Watanzania Exposure hatuna na hatujuia tunacho kifanya kwa kweli tupo tupo tu sho off za kutosha ilihali Super marker zomejaa vyakula kutoka nje ya nchi, sehemu murua sana kutengeneza network ya biashara za kilimo sema humu hakuna wakulima ni wale wa mitandaoni tu wakulima walio serias huwa hawako kwenye mitandao humu ni wale wa hadithi za kilimo
 
Na siku nzuri ni kati kati ya wiki make weekend inakuwa na jam sana na weekend maana yake itakuwa tarehe 1 na mwisho mwisho wa maonyesho hivyo katikayi ya wiki ndio vizuri hasa 27 au 28 au 29 huko
Kuna mtu nimemtumia ataenda alisha wahi ulizia sana hii kitu kipindi cha nyuma, anafanya kilimo kikubwa na ana ndoto za mbali sana
 
Maonyesho mazuri sana haya sema sisi Watanzania Exposure hatuna na hatujuia tunacho kifanya kwa kweli tupo tupo tu sho off za kutosha ilihali Super marker zomejaa vyakula kutoka nje ya nchi, sehemu murua sana kutengeneza network ya biashara za kilimo sema humu hakuna wakulima ni wale wa mitandaoni tu wakulima walio serias huwa hawako kwenye mitandao humu ni wale wa hadithi za kilimo
Ni kweli nimewahi pata marafiki kule kwenye mambo ya kilimo na this time nitaenda kwa sababu kuna watu natakiwa kuonana nao kule hasa kwenye mifugo, kuna furusa nyingi sana kwenye ile show hasa netwoking.
 
Wakuu haya maonyesho yalisogezwa mbele nazani kwa sababu tunajua, so yanaanza 26 mwezi huu, so wanao enda wanyoshe miko juu tuone tunafanyaje.

Kuondokea ni Arusha asubuhi saa 10 tunachukua Noha ya mapema sana, saa 12 asubuhi tusha gonga muhuri na tunakamata matatu za Namanga to Nairobi na saa 3 tuko Nairobi na by saa 4 tuko viwanjani.

Kundoka kule haina haraka tunachomoka saa 11 jioni na by saa 5 tutakuwa Arusha Mungu akipenda.

Nauli ya Arusha to Namanga ni sh 8000/ Namanga to Nairobi inachezea sh 12, 000 hadi 13, 000/ kutegemea na exchange rate.

Kadi ya chanjo ya homa ya manjano ni muhimu sana wanazenguaga boda ila unaweza ipata pale kwa sh 10, 000/
Na Tanzania tuanzishe maonyesho ya kilimo ya Kimataifa kule Mbeya na viwanja vijengwe kwa standards zinazotakiwa..
 
Na Tanzania tuanzishe maonyesho ya kilimo ya Kimataifa kule Mbeya na viwanja vijengwe kwa standards zinazotakiwa..
Nani aanzishe make utaema Serikali, Hahaaa Nchi nyingi maonyesho yao huwa ni Private, hata haya ya Nairibi sio ya Serikali na wala hayasimamiwi na Serikali,
 
Na siku nzuri ni kati kati ya wiki make weekend inakuwa na jam sana na weekend maana yake itakuwa tarehe 1 na mwisho mwisho wa maonyesho hivyo katikayi ya wiki ndio vizuri hasa 27 au 28 au 29 huko

Mkuu kwema nataka niende
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom