Nairobi Internationa Agriculture show

Nairobi Internationa Agriculture show

Kwa nini sijataja ku arange safari?

Nisha wahi ku arange safari za aina hii two times naachwa kwenye mataa.

Ukitangaza leo utapata watu zaidi ya 100 wanasema wanaenda ila hutaamini macho siku ya siku unajikuta pekee yako.

1. Mwaka juzi nili arange tena humu walitokea watu si chini ya 200 wa kutaka kwenda ila siku ya siku tulienda wa nne wote kutokea Arusha.

2. Mwaka jana sasa walio itikia kwenda walikuwa ni 50 mpaka imebakia wiki moja. Ila siku yenyewe nilijikuta peke yangu Nairobi.

So tangia hapo nika koma. Watanzania nawajua sana kwa Promise.

Siku ya siku kila mtu anakuja na sababu zisizo pungua Milioni 1 za kwa nini hajaweza kwenda.

USHAURI

Kama unataka kwenda wewe nenda wewe kama wewe kwa faida yako wewe mwenyewe. Ukianza kutafuta watu muende kama kikundi utalia siku ya siku ambapo kila mmtu ataanza kutoa sababu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna mdau wa dar ana private car lets organise tuchangie wese na mambo mengine.
Wewe tafuta nauli yako panda wakina saibaba au Dar lux na kadhalika Nauli kutoka Dar to Nairobi sio chini ya 50.

Ila vizuri ukafikia Arusha ukalala Arusha. Nairobi ni very expensive sana kulala.

Ukianza kuulizia wanao kwenda jiandae kuto kwenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naenda kama. Ndo mala last year baada ya wote kugeuza gia angani mim nilienda pekee ya ngu.

Huwezi jutia gharama hata siku moja make kuna mambo adimu sana unakutana nayo huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini sijataja ku arange safari?

Nisha wahi ku arange safari za aina hii two times naachwa kwenye mataa.

Ukitangaza leo utapata watu zaidi ya 100 wanasema wanaenda ila hutaamini macho siku ya siku unajikuta pekee yako.

1. Mwaka juzi nili arange tena humu walitokea watu si chini ya 200 wa kutaka kwenda ila siku ya siku tulienda wa nne wote kutokea Arusha.

2. Mwaka jana sasa walio itikia kwenda walikuwa ni 50 mpaka imebakia wiki moja. Ila siku yenyewe nilijikuta peke yangu Nairobi.

So tangia hapo nika koma. Watanzania nawajua sana kwa Promise.

Siku ya siku kila mtu anakuja na sababu zisizo pungua Milioni 1 za kwa nini hajaweza kwenda.

USHAURI

Kama unataka kwenda wewe nenda wewe kama wewe kwa faida yako wewe mwenyewe. Ukianza kutafuta watu muende kama kikundi utalia siku ya siku ambapo kila mmtu ataanza kutoa sababu

Sent using Jamii Forums mobile app
kwel.hili jamii yetu kubwa hiko hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom