Nairobi Internationa Agriculture show

Nairobi Internationa Agriculture show

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,942
Reaction score
9,463
Mwezi wa kumi kuazjia tarehe 2 hadi 8 kutakuwa na Maonyesho ya kimataifa ya kilimo ya Nairobi. Haya ndo maonyesho makubwa kabusa Africa mashariki na kati.

Kwa watako taka kwenda.

Tutaondoka Arusha asubuhi saa 10 na saa 12 tunakuwa mpakani tunagonga pasport na tunachukua Hice za Namanga to Nairobi by saa 3 tuko Nairobi na tunazunguka kwa Maonyesho hadi saa 11 tunaondoka kurudi Arusha na by saa 4 au 5 tunakuwa Arusha.

Si arrange chochote anaye kwenda ni yeye na pesa mkononi makwe. Nauli ya Arusha to Namanga ni 7x2= 14,000
Nauli ya Namanga to Nairobi ni Tsh 12000 x 2= 24,000.

Jumla ya nauli from Arusha to Nairobi na kurudi ni around Tsh 38,000/
Kiingilio ni around 4000 hadi 5000/ pesa yako ya kula na ya kununua chochote.

Si arange safari narudia tena hili lieleweke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ambaye anaweza kwenda ni vizuri akaenda.Hii kitu ni nzuri sana,nakumbuka nikiwa High School tulikuwa tunaenda na kujifunza mengi sana.Hautajuta kwenda.
 
Wakuu kuna nyingine inaitwa mombasa international show kuanzia 30 agosti - 3 septemba kiingilio kshs 300.

Sijajua full package yake ikoje ila mombasa kwa wanaoishi dsm ni karibu sana.

Tujadiliane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna mdau wa dar ana private car lets organise tuchangie wese na mambo mengine.
 
Back
Top Bottom