Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Tatizo sio kusoma darasani, muhimu ni kuelewa na kuinyambulisha. Tony254 kuwa mkweli, kwa mambo na maamuzi yanayofanywa na GoK, kuanzia katika miradi ya nchi, kukopa, kuendesha serikali kwa gharama kubwa, uzalishaji wa chakula na gharama kubwa za kufanya uchaguzi, kweli unaweza kuamini kweli Kenya kuna wachumi?, kumbuka haya yote David Ndii amekua akiyapigia kelele " Economically"
Kenya kuna wachumi nje na ndani ya serikali. Lakini tatizo ni kuwa wanasiasa ndio wanaoamua ni kitu gani kitakachowekwa kwenye budget na gani hakitawekwa. Kwa mfano hio SGR waliofanya uamuzi wa kuijenga ni wanasiasa. Wachumi walifanya economic feasibility study ili kuchunguza ikiwa hio SGR italeta mapato ya kutosha katika life-time ya hio project. Kazi ya mchumi ni kuadvice. Kwa hivyo ikiwa Ndii ametoa advice kwamba mradi fulani ni mbaya lakini serikali ikampuuza basi hakuna atakachoweza kufanya zaidi ya hapo. Halafu kuna Wachumi wasiozingatia walichofunzwa. Kwa mfano Henry Rotich aliyekuwa Waziri wa fedha ana masters ya economics from University of Nairobi ila yeye ndiye alikuwa mstari wa mbele kuenda nje ya nchi kuchukua madeni ya Eurobond 1 and 2. Yeye ndiye aliyeongeza debt to Gdp ratio ya Kenya kwa kiasi kikubwa. Ilikuwa ni jukumu lake kama mchumi kumweleza rais kuwa sio vyema Kenya kuomba deni zaidi ya kiwango fulani. Kwa mfano angetoa proposal ya kupunguza expenses ya serikali. Kwa mfano hakuna haja ya wanasiasa na majaji kuendesha mercedes benz. Wapewe VW Passat ambayo hainywi mafuta mengi. Watafute njia zingine za kupunguza public expenses ikiwemo kutumia PPP. Miradi kama Nairobi expressway ambayo ni PPP inasaidia serikali kutoomba deni kwa sasa, kwa sababu private investor ndiye anayeshugulikia ujenzi huo.
 
Kama umezaliwa na kukulia Kibera huwezi kuwa na akili timamu. Only David Ndii in Kenya knows Economics, ninyi wengine ni kukunya katika mifuko ya plastic na kutupa nje "flying toilets"
Rudi tuongee ukishajua maana ya urbanization. Yani sikujua your this dump, ati urbanization inamanisha development and economic growth
 
Kenya kuna wachumi nje na ndani ya serikali. Lakini tatizo ni kuwa wanasiasa ndio wanaoamua ni kitu gani kitakachowekwa kwenye budget na gani hakitawekwa. Kwa mfano hio SGR waliofanya uamuzi wa kuijenga ni wanasiasa. Wachumi walifanya economic feasibility study ili kuchunguza ikiwa hio SGR italeta mapato ya kutosha katika life-time ya hio project. Kazi ya mchumi ni kuadvice. Kwa hivyo ikiwa Ndii ametoa advice kwamba mradi fulani ni mbaya lakini serikali ikampuuza basi hakuna atakachoweza kufanya zaidi ya hapo. Halafu kuna Wachumi wasiozingatia walichofunzwa. Kwa mfano Henry Rotich aliyekuwa Waziri wa fedha ana masters ya economics from University of Nairobi ila yeye ndiye alikuwa mstari wa mbele kuenda nje ya nchi kuchukua madeni ya Eurobond 1 and 2. Yeye ndiye aliyeongeza debt to Gdp ratio ya Kenya kwa kiasi kikubwa. Ilikuwa ni jukumu lake kama mchumi kumweleza rais kuwa sio vyema Kenya kuomba deni zaidi ya kiwango fulani. Kwa mfano angetoa proposal ya kupunguza expenses ya serikali. Kwa mfano hakuna haja ya wanasiasa na majaji kuendesha mercedes benz. Wapewe VW Passat ambayo hainywi mafuta mengi. Watafute njia zingine za kupunguza public expenses ikiwemo kutumia PPP. Miradi kama Nairobi expressway ambayo ni PPP inasaidia serikali kutoomba deni kwa sasa, kwa sababu private investor ndiye anayeshugulikia ujenzi huo.
Kwa kiwango kikubwa ninakubaliana wewe, ila inaonekana unamtwisha lawama Rotich pekee, ila hata huyu wa sasa hivi na waliopita kabla ya Rotich pia wote walifanya makosa hayohayo.

Ni matumaini yangu kwamba kuna wabunge, Governors na senetors wengi ambao wamesoma uchumi, vipi wanapitisha miradi mingi ambayo haina faida za kiuchumi kwa Kenya, au wanashindwa kutoa kipaumbele katika miradi muhimu?.

Ninapozungumzia "Economists in Kenya", sina maana ya waziri na wafanyakazi wa wizara ya fedha pekee, ninazungumzia wakenya waliosoma uchumi katika vyombo vyenye kutoa maamuzi na kupitishia miradi na sheria za nchi, kama bunge la taifa, seneti na MCAs. Kwa ujumla wasomi wa Kenya, hasa wachumi hawaisaidii Kenya.
 
Mkenya wa kawaida anapata pesa nyingi kushinda Mtanzania wa kawaida kulingana na statistics za World bank (GNI per capita). Sasa sijui unacheka nini. Hii hii World bank ndio ilisema kuwa Kenya ina electrification rate ya 75% na Tanzania 35%. Halafu wewe na ichoboy01 mkapinga data ya World bank sana. Lakini sasa hivi unataka kuikumbatia World bank kwa sababu inasema kuwa Tanzania ina a higher urbanisation rate than Kenya? Unaichukia World bank inaposema kuwa Kenya ina higher electrification rate lakini unaipenda World bank inaposema kuwa Kenya ina lower urbanisation rate? Uko very confused, hypocritical and unserious.
joto la jiwe mbona nyinyi Watanzania huwa hampo serious? Mbona mlikuwa mnapinga World bank iliposema kuwa Kenya ina higher electrification rate than Tanzania halafu saa hii mnafurahia sana wakati World bank inaposema kuwa Tanzania ina higher urbanisation rate? Mtawacha huu unafiki lini? Kuweni serious wakati mwingine. Sio kila wakati ni wakati wa mchezo. Hamuwezi kuchagua data gani ya World bank mnapenda na gani hampendi. Either mkubali data zote za World bank au mzikatae zote.
Wakuu mwenye ile electricity map ailete nipige mtu humu mm picha zng nyingi zpo kwenye simu yng iliyopasuka kioo nashindwa kukamata watu daahhhh
 
Tony254, huwa una tatizo la kutokusoma na kuelewa vizuri mada inayozungumza, jaribu kutulia na kuelewa nini kinachozungumzwa. Hapa hatuzungumzii utajiri wa nchi au wananchi wa nchi, kinachpzingumziwa ni "development and standard of living".

Urban population is more developed and has higher and better standard of living than rural population, hii ni kutokana na ukweli kwamba in urban ndiko kwenye kupatikana kwa huduma bora za kijamii.

Wafugaji, wakulima wanaoishi vijijini, standard ya maisha yao ipo chini ukilinganisha na wamachinga au mama mboga anayeishi mjini hata kama vipato vyao vinalingana.

Mwalimu wa mjini na mwalimu wa kijijini ni tofauti sana katika standard of living. Tatizo wakenya mnadhani money is everything.
1)Kenya inakusanya pesa nyingi kwa mwezi kuliko Tanzania, lakini Tanzania inajenga miradi mingi na kuwahudumia raia wake vizuri zaidi ya Kenya.
2) GNI ya wakenya inaonekana ni kubwa kuliko watanzania, lakini standard of living ya watanzania ni nzuri kuliko wakenya.
Hehehehee leo unawagonga nyudo za kupasulia miamba
 
Wakuu mwenye ile electricity map ailete nipige mtu humu mm picha zng nyingi zpo kwenye simu yng iliyopasuka kioo nashindwa kukamata watu daahhhh
Mimi nazungumza kuhusu data ya World bank na wewe unazungumza kuhusu picha iliyo kwenye simu yako? Masalaale!!
 
Back
Top Bottom